Afande Sele 'Seleman Msindi' mwislamu alisema akizikwa azikwe kiasili yaan apigwe moto baadae akili zilipomrudi akabadirisha mtazamo, kwa hio mkuu wa Mkoa bwana Alubati Chalamila na yeye tunampa muda akili zikimrudia ataeleza vizuri kwa sasa bado muda wake haujafika na hafi kesho wala kesho kutwaMkuu wa Dar amesema anaupenda uislam na akifa ameandika wasia azikwe kiislamu.
Ameyasema hayo hivi karibuni jijini Dar Es salaam.
Video inakua hivi punde
Akili zimeyeyuka kidogo hapo ni sawa na kumkana Mama na Baba yako kua hawajakuzaa na kukuleta kwenye hii dunia kwa hio huwatambuiUpo Wapi Huo Wosia
Huyo Ni Mkristo Atazikwa Kikristo Mengine Ngonjera Za Wana Siasa
Hafi kesho wala kesho kutwa? Anatumia pumzi za ulaya na sio za Allah?Afande Sele 'Seleman Msindi' mwislamu alisema akizikwa azikwe kiasili yaan apigwe moto baadae akili zilipomrudi akabadirisha mtazamo, kwa hio mkuu wa Mkoa bwana Alubati Chalamila na yeye tunampa muda akili zikimrudia ataeleza vizuri kwa sasa bado muda wake haujafika na hafi kesho wala kesho kutwa
Allah yupi mtoa pumzi?Hafi kesho wala kesho kutwa? Anatumia pumzi za ulaya na sio za Allah?
Yupo kila sehemuAllah yupi mtoa pumzi?
SahihiSi asilimu tu ijulikane ni muislam? Hizi ni abrakadabra za kisiasa tu