Kama kweli anania ya kuwajibika Basi ajiuzulu pamoja na bosi wake.hilo jengo limeanguka Kwa kuwa hakuna usimamizi wa madhubuti katika ujenzi.ujenzi holela usiofuata taratibu za ujenzi hauzingatiwi Leo hii mtu ukiwa na pesa nyingi unaweze kuuziwa shule na ukabomoa na ukajenga ghorofa lako la ghorofa ishirini Kwa muda wa siku Tano tu.Watanzania tu ataka mama Yao ajiuzulu