Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Mara nyingi tunafahamu kuzaa lakini hatufahamu kabisa maswala ya kulinda watoto wetu na hili kuna mfano mzuri sana shule za temeke ambazo watoto wa shule za msingi na sekondari wanakula shuleni hazizidi hata asilimia thelathini. Lakini ukihoji unaambiwa wazazi wengi hawana mwamko wa kuchangia chakula.
Hakuwezi kuwa taaluma nzuri hata siku moja kama mtoto asipopata chakula, na moja ya wilaya katika mkoa wa Dar es Salaam zinazofanya vibaya hata katika matokeo kidato cha nne ni Temeke” amesema Albert Chalamila mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam