Albert Einstein: Sijui silaha gani zitatumika kupigana WWIII, lakini lakina zana za mawe na miti zitatumiwa kupigana WWIV

Albert Einstein: Sijui silaha gani zitatumika kupigana WWIII, lakini lakina zana za mawe na miti zitatumiwa kupigana WWIV

soine

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
2,113
Reaction score
2,329
Dunia inaenda kasi sana, hivyo hivyo technolojia na ugunduzi wa mashine na vifaa mbalimbali.

Kasi ya ukuaji wa science na silaha za maangamizi kama atomic bomb wakati uhai wake ulimfanya Albert Einstein kushindwa kujua vita vya 3 vya dunia zitakuwepo silaha gani za kivita. Leo hii AI, defensive systems, Robotics and Autonomous systems, internet of military&cyber warfare, big data analytics na makorokocho kibao.

Dunia inapiga nuclear plus biological weapons. North korea, Iran na Syria wanashambuliwa pale wanapotaka kuwa na nuclear.

Uwepo wa silaha nyingi na hatari imepelekea ugunduzi wa mifumo au silaha za kujikinga na mashambulizi. Huko Ukraine tunaona uharibifu mkubwa, majuzi waasi walijaribu kurusha makombora Israelila asilimia kubwa yalitunguliwa.

Huenda Einstein aliona mbali. Huenda itafika miaka ambayo hakuna nyuklia...na silaha nyingine zitakuwa hazifanyi kazi. Hivyo, dunia itarudi kwenye zana za mawe!!

Kumbuka kiutamaduni hasa mavazi tulishaanza kurudi kutembea watupu!!
 
Dunia inaenda kasi sana, hivyo hivyo technolojia na ugunduzi wa mashine na vifaa mbalimbali.

Kasi ya ukuaji wa science na silaha za maangamizi kama atomic bomb wakati uhai wake ulimfanya Albert Einstein kushindwa kujua vita vya 3 vya dunia zitakuwepo silaha gani za kivita. Leo hii AI, defensive systems, Robotics and Autonomous systems, internet of military&cyber warfare, big data analytics na makorokocho kibao.

Dunia inapiga nuclear plus biological weapons. North korea, Iran na Syria wanashambuliwa pale wanapotaka kuwa na nuclear.

Uwepo wa silaha nyingi na hatari imepelekea ugunduzi wa mifumo au silaha za kujikinga na mashambulizi. Huko Ukraine tunaona uharibifu mkubwa, majuzi waasi walijaribu kurusha makombora Israelila asilimia kubwa yalitunguliwa.

Huenda Einstein aliona mbali. Huenda itafika miaka ambayo hakuna nyuklia...na silaha nyingine zitakuwa hazifanyi kazi. Hivyo, dunia itarudi kwenye zana za mawe!!

Kumbuka kiutamaduni hasa mavazi tulishaanza kurudi kutembea watupu!!
Einsten alimaanisha kuwa baada ya nuke war watalaamu wote watakufa tutaanza kuishi primitive life mpaka hapo badaye tena
 
Pia alisema phizikia ni rahisi sana kuliko politiks. Alimaanisha wanasiasa huwa wanaburunda sana katika kufanya maamuzi ya kutumia silaha kuua wenzao. Imagine Urusi kuivamia Ukraine kuuwa na kuharibu nchi bila sababu ya msingi kabisa.
 
Kuna watu wana akil sana na hutoa misemo yenye maana sana
 
Silaha ni zile zile tu sema zimeboreshwa,mithili ya gesi linavyoripuka..so madhara yatakuwa makubwa sana kwa binadamu..hasa kiuchumi.
 
Mimi nilikuwa nawaza hivihivi kuwa Kuna siku itatokea tutarudi nyuma Tena kutumia mishale na mapanga...
 
Back
Top Bottom