Huko alikoenda sidhani kama kuna mapumziko aisee.
Wanao mpa ushujaa ea, wengiwao ni watoto chini ya miaka 25, kizazi cha kushusha suruali ambao hawajawa na majukumu ya kifamiria, unaweza ukawa msomi lakini ukawa hauna upeo wa kufikiri mema, kama yule mwana sayansi aliye sema tumetokana na Nyani
Kwani rc tulimsaidia wote ama alisaidiwa na kaka mkuu? Huu ujumbe ni wa kaka mkuu. Haendi kwenye misiba ya maprofesa anaenda kumzika kanumba. Kwanza sijui kwa nini hakwenda kumzika ngwear
kwa maoni yangu mi nilitaka maiti yake ichapwe viboko ili liwefundisho kwa mateja ote na wanao taka kuingia ktk mkumbo huo, binafsi hakuna jema nililo jifunza kwake kamakweli alikufa kwa madawa.
Umhimu wa mtu unaonekana kutokana na mwitikio wa jamii, sio kama unavyotaka wewe, imekuuma eeeh!