Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Vencha bati"
We ni ----- na Zezeta mkubwa kama Mabwege na Mazezeta wengine.
wewe ndio zezeta namba moja, ulitaka aandike kukufurahisa wewe. kwani ngwair si kafa kwa kubwia unga? au kosa la marehemu condom?
"Sasa we una bati
usiku huu unenda wapi wakati hiyo bati
hata chai tu hupati,
asiye na kitu mi naona bora akabaki,
tusije mbele tukashikana mashati..."
suka eee
tuanzie masaki
mchizi kapiga simu yani kuna bonge la pati
Napenda " we Ngwair mbona huinekani?, vp hauna TV ,ungekuwa na faida nami ungeniona kwa 3D"
Kwenye wimbo No beef ft TID
cha kujivunia nilichonacho... kawaida yangu huwa sionekani kwa jicho... kwa mtu yeyote mi nakaa... mzima au kichaa... hata hao mnaowaita mapapaa... maza au sista du anayeng'aa.. sijali mwembamba au anambambataa.... #BADO NIMO/A.K.A. MIMI..... R.I.P
kufa kwa kubwia unga, haiondoi mazuri alyoufanyia huu mziki. Acha kuruka ruka we binti.
wewe ndio zezeta namba moja, ulitaka aandike kukufurahisa wewe. kwani ngwair si kafa kwa kubwia unga? au kosa la marehemu condom?
Rhymes galore.
Nikimsikiliza kwenye "Nipe dili" naona huyu mchizi obviously kadata kimtaa, lakini pia anaweza kuandika rhymes zenye akili kimataifa.
Vijana.wanaotoka sasa wana.mengi ya kunifunza kitoka kwenye positive side ya Ngwear. Regardless ya mengine.
Kwa matumizi ya bangi madawa ya kulevya na kutoheshimu elimu hivyo hafai kuigwa lakini pia ni muwekezaji kipindi kileeeee alikuwa na bar karibu na lion hotel
wewe nani anayekuiga?
we ni ----- na zezeta mkubwa kama mabwege na mazezeta wengine.
kufa kwa kubwia unga, haiondoi mazuri alyoufanyia huu mziki. Acha kuruka ruka we binti.