Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
umeona eeh
mode wafungue jukwaa la watu wenye stress wawe wanatukanana huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona eeh
Namkumbuka kwa kufa akiwa ambwia unga. Amechangia kuharibu vijana kwa kuwa muuza unga,amechangia kuua nguvu kazi na kurudisha nyuma uchumi wa nchi. Hafai kukumbukwa kwa zuri lolote.
mode wafungue jukwaa la watu wenye stress wawe wanatukanana huko
mode wafungue jukwaa la watu wenye stress wawe wanatukanana huko
nyi na madem nanyinyi
nsikilizeni kwa makini
hivi ni kwa nini mnakua hamjiamini
mnajua nyie mna nguvu zaidi ya sisi
mwanaume kwa demu ni km mfupa kwa fisi
Hahahahh we ulifikiria nini. Comment of the day kwa mtazamo wangu lakini
Rhymes galore.
Nikimsikiliza kwenye "Nipe dili" naona huyu mchizi obviously kadata kimtaa, lakini pia anaweza kuandika rhymes zenye akili kimataifa.
Vijana.wanaotoka sasa wana.mengi ya kunifunza kitoka kwenye positive side ya Ngwear. Regardless ya mengine.
pumbavu sana mwanaizaya we tunazungumzia kazi yake ya muziki na si maisha yake binafsi watch out your words nyambaaaf..@#&*@!%$*!!!
this is too much hata idd amin ana mazuri yake, kazi ya kuhukumu muachie Mungu mwenyewe.
sawa, ila omba sana kwa mungu wako usije kufa kwa kupigwa mtungo kwa sababu ya uzinzi
dark master aliumia sana ngwea alivyokufa.....walitoka mbali sana
kufa kwa kubwia unga, haiondoi mazuri alyoufanyia huu mziki. Acha kuruka ruka we binti.
Ni vi punchline na lyrics kama hizi, pamoja na tight delivery na production yenye akili bila kusahau impeccable storytelling skills vilivyonifanya nipende muziki wa Ngwear.
Ngwear alikuwa anaweza kukuhadithia siku ilivyoenda, mpaka washkaji wanampigia simu, mpaka anaenda Mbezi kwenye party ka watoto wa kishua, mpakavituko vya masela na madem.kwenye party, ukaona kama unaangalia movie au upo kwenye hiko party vile.
He was real hood with a wry sense of humor. And a larger than life personality, in.other words, a true star. Si star wa ku force kwa promotion.
All along while he wasn't only riding, he parallel parked on the track, like Jada said.
Something hard to duplicate.
mode wafungue jukwaa la watu wenye stress wawe wanatukanana huko
wauza bangi wote
"niguse nikuchanechane na kiwembe" RiP
Sina nia ya kubadili maadili siyo nnachopinga nyie kushikwa masikio,
sema tu hamjui umuhimu wenu ila leo ntawambia tu ila iwe siri yenu,
mi mwenyewe naenda club kila wiki,
haina maana hua nafata tu mziki (wa kaz gan)...
Alikua mwanamziki,huwezi kuzungumzia kazi ya mtu bila kugusa maisha yake.
Kwa taarifa yako huwezi kunipangia natakiwa kukomenti nini. Ushoga peleka kwa kameruni.
kenge wewe mothrfker
Kwa matumizi ya bangi madawa ya kulevya na kutoheshimu elimu hivyo hafai kuigwa lakini pia ni muwekezaji kipindi kileeeee alikuwa na bar karibu na lion hotel