morphine
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 3,504
- 1,093
hivi mnategemea watangaze kwenye vyombo vya habari kua alifariki kwa kutumia dawa za kulevya zenye sumu au pombe kali au kingine chochote chenye picha mbaya kwa jamii?
kwa maneno ya chini chini kwa nini watu wameropokea madawa na sio pizza yenye sumu? Inamaana hawakuona vitu vingine vya kusingizia?
mwisho kabisa bado najiuliza kwa upeo wangu mdogo wa kifikra bado sijaona picha ya dada yetu msibani aliesaidiwa na kaka mkuu kurudia hali ya kawaida baada ya kua muathirika wa yale mavituzi.
kwa maneno ya chini chini kwa nini watu wameropokea madawa na sio pizza yenye sumu? Inamaana hawakuona vitu vingine vya kusingizia?
mwisho kabisa bado najiuliza kwa upeo wangu mdogo wa kifikra bado sijaona picha ya dada yetu msibani aliesaidiwa na kaka mkuu kurudia hali ya kawaida baada ya kua muathirika wa yale mavituzi.