kid ink tz
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 307
- 320
Album mpya ya Justin Bieber 'Changes' imeshika namba moja kwenye chart za Billboard 200 na kuvunja rekodi aliyoiweka mkongwe Elvis Presley miaka 59 iliyopita
Justin Bieber ameweka rekodi ya kuwa msanii mwenye umri mdogo zaidi kuongoza chart hizo kubwa zaidi za album Marekani mara 7, Justin Bieber amevunja rekodi hii akiwa na umri wa miaka 25 tu, Elvis Presley aliweka rekodi kama hii na album yake ya 'Blue Hawaii' mwaka 1961 akiwa na umri wa miaka 26
Changes ni project ya kwanza ya Justin Bieber ndani ya miaka 4, ndani ya wiki yake ya kwanza sokoni imeuza nakala 231,000 na kuwa album namba moja Marekani kwasasa
Justin Bieber ameweka rekodi ya kuwa msanii mwenye umri mdogo zaidi kuongoza chart hizo kubwa zaidi za album Marekani mara 7, Justin Bieber amevunja rekodi hii akiwa na umri wa miaka 25 tu, Elvis Presley aliweka rekodi kama hii na album yake ya 'Blue Hawaii' mwaka 1961 akiwa na umri wa miaka 26
Changes ni project ya kwanza ya Justin Bieber ndani ya miaka 4, ndani ya wiki yake ya kwanza sokoni imeuza nakala 231,000 na kuwa album namba moja Marekani kwasasa