mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Nenda katoe taarifa sehemu husika na uwaonyeshe sehemu vilipo hivyo vibanda vinavyochoma hiyo cd ya Diamond,toa ushirikiano kama raia mwema mkuu.Duh hii bongo land ni shida , Yani nimekuta album ya diamond inabaniwa kwa shilingi 1500, kwenye vibanda vya kuchoma cd, kiukweli album ni kali, sasa nashangaa kwanini haki ya msanii inatumiwa na watu wengine kupata kipato. Au ndio maana ali kiba kaamua kutotoa nyimbo kabisa. Maana mtu unatoa album wanafaidika wengine
Nenda katoe taarifa sehemu husika na uwaonyeshe sehemu vilipo hivyo vibanda vinavyochoma hiyo cd ya Diamond,toa ushirikiano kama raia mwema mkuu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]acha wapige kazi, ukifanikiwa wewe tunafanikiwa wote kila mmoja atatafuta mahali pa kushikilia aweze kula. kwahiyo tulia tu mkuu
[emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yaaniNitaambulia nini zaidi ya kuwekwa rokapu kuisaidia jeshi ra porisi
[emoji13] [emoji23] [emoji23] waacha wapambane na hali yaoNitaambulia nini zaidi ya kuwekwa rokapu kuisaidia jeshi ra porisi
We ni mkurya?Nitaambulia nini zaidi ya kuwekwa rokapu kuisaidia jeshi ra porisi
mwakyembe Na Juliana Shonza mnamsaidiaje diamond Na wasanii wengine?Duh hii bongo land ni shida , Yani nimekuta album ya diamond inabaniwa kwa shilingi 1500, kwenye vibanda vya kuchoma cd, kiukweli album ni kali, sasa nashangaa kwanini haki ya msanii inatumiwa na watu wengine kupata kipato. Au ndio maana ali kiba kaamua kutotoa nyimbo kabisa. Maana mtu unatoa album wanafaidika wengine
Wewe hutaki kulisaidia jeshi la Polisi? Kuona maovu yakitendeka na kuyafumbia macho ni sawa na kuyasapoti tu hayo maovu,Nitaambulia nini zaidi ya kuwekwa rokapu kuisaidia jeshi ra porisi