mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Duh hii bongo land ni shida , Yani nimekuta album ya diamond inabaniwa kwa shilingi 1500, kwenye vibanda vya kuchoma cd, kiukweli album ni kali, sasa nashangaa kwanini haki ya msanii inatumiwa na watu wengine kupata kipato. Au ndio maana ali kiba kaamua kutotoa nyimbo kabisa. Maana mtu unatoa album wanafaidika wengine