kwahiyo 1500 unaona kafaidikaaaa? dah wabongo bhana.Duh hii bongo land ni shida , Yani nimekuta album ya diamond inabaniwa kwa shilingi 1500, kwenye vibanda vya kuchoma cd, kiukweli album ni kali, sasa nashangaa kwanini haki ya msanii inatumiwa na watu wengine kupata kipato. Au ndio maana ali kiba kaamua kutotoa nyimbo kabisa. Maana mtu unatoa album wanafaidika wengine
Na mara unageuziwa kibao na kuonekana wewe ndio mwenye makosaNitaambulia nini zaidi ya kuwekwa rokapu kuisaidia jeshi ra porisi
Ili iweje , wacha vijana wapate hela za kula.Nenda katoe taarifa sehemu husika na uwaonyeshe sehemu vilipo hivyo vibanda vinavyochoma hiyo cd ya Diamond,toa ushirikiano kama raia mwema mkuu.
Yaani hata me nashangaa wanaonunua albam wakati naweka kwenyeflash au nadownload kwa cm. Na kupiga nyimbo zoote. Ila wasaniii wanakazi kweli kweliJana nikuwa vijijini ndani ndani....niko ki pub flan nakunywa bingwa...mhudumu anajipigia album nzima ...nikamuuliza hiyo ni full CD album..akaniambia ni flash..
Nikakaa kimya.
Kwa hiyo unasapoti wizi?Ili iweje , wacha vijana wapate hela za kula.
Unaishusha kutoka wapi kiongozi?Mi nawashangaa hata hao wanaotoa 1500 kununua CD, kabando kangu tu ka chuo ka jelo kanashusha albam nzima naweka kwenye simu, flash, nikitaka naweka na kwenye CD/DVD, hiyo ndio nguvu ya jelo. Sema natania tu, tununue CD og tumtegemeze msanii wetu aendelee kutingishiwa mattako na kina Wema Sepetu
Kwenye haki miliki sio kazi ya Basata.. Wanao husika hapa ni KOSOTA sasa hapa pia huwa inategemea kama Mond alisajiri album yake Kosota...Duh hii bongo land ni shida , Yani nimekuta album ya diamond inabaniwa kwa shilingi 1500, kwenye vibanda vya kuchoma cd, kiukweli album ni kali, sasa nashangaa kwanini haki ya msanii inatumiwa na watu wengine kupata kipato. Au ndio maana ali kiba kaamua kutotoa nyimbo kabisa. Maana mtu unatoa album wanafaidika wengine
Nitaambulia nini zaidi ya kuwekwa rokapu kuisaidia jeshi ra porisi