Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 4,139
- 4,640
Nchi ya Tz ni sawa kabisa na kichwa cha mwenawazimu...... Kila mtu atakinyoa tu.
Waziri anakurupuka tu kufungia nyimbo wakati alitakiwa apambane kuweka mazingira sawa ya haki za wasanii ndipo azuie kazi zao ambazo kimaadili haziko sawa. Lakini nimegundua kuwa waziri mwenyewe ni wale wale tu waliowekwa bado wakiwa na akili za kitoto wanakurupuka tu asubuhi asubuhi na kujisikia kuja na matamko ya kufungia nyimbo kwakua tz ni kichwa cha mwenda wazimu kiongozi yeyote anaongea chochote anachojisikia
Waziri anakurupuka tu kufungia nyimbo wakati alitakiwa apambane kuweka mazingira sawa ya haki za wasanii ndipo azuie kazi zao ambazo kimaadili haziko sawa. Lakini nimegundua kuwa waziri mwenyewe ni wale wale tu waliowekwa bado wakiwa na akili za kitoto wanakurupuka tu asubuhi asubuhi na kujisikia kuja na matamko ya kufungia nyimbo kwakua tz ni kichwa cha mwenda wazimu kiongozi yeyote anaongea chochote anachojisikia