Harmonize toa nyingine there is no bad publicity kwa artist yeyote, toa nyingine uonyeshe uwezo wako kipindi hiki hiki lol
Duh.im sad..😰😰😰😰
Sasa kama tumeipenda tuiponde???album nzima imejaa remix alafu matahira ni kumwaga sifa tu, sijui hana hata washauri huyu dogo dah!
Don't be, things will be at ease soon.
Itabdi mkuu ufungue uzi wa kumfarij kondeboy kama ulivyofagilia ile album yake[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you honey 😍
Hivi umemuelewa kweli mtoa mada.??Acha chuki ww sampling za beat mbona zinanyika sana,chuki haijengi afu hata haikusaidii kwa chochote
Asante...
Hivi ndo mhenga nishathibitishwa ama?
kama a boy from Tandale ilipita na dengueCorona ime pita na album.watu hawana habari
Mpaka upitie kwa mama yake Becky 🤣🤣
Acha chuki ww sampling za beat mbona zinanyika sana,chuki haijengi afu hata haikusaidii kwa chochote
Mbona huku Audiomack album yake ya afroeast naiona na imekuwa streamed Mara 2.96m.
Afroeast | Audiomack
Eti kosa lakokubwa kutuletea taarifa hii, nakuhakikishia sisi wabongo ni wanafiki wa kiwango cha dreamliner, yaani walitaka ulete taarifa kuwa albam imeuza kopi bilioni 9