Kwani yeye ndio kafuta, mbona hutumii akili budaa.Acha chuki ww sampling za beat mbona zinanyika sana,chuki haijengi afu hata haikusaidii kwa chochote
Acha chuki ww sampling za beat mbona zinanyika sana,chuki haijengi afu hata haikusaidii kwa chochote
Harmonize toa nyingine there is no bad publicity kwa artist yeyote, toa nyingine uonyeshe uwezo wako kipindi hiki hiki lol
Harmonize | Audiomack hapo kwenye kusearch andika Harmonize,zitakuja nyimbo zote za Harmonize zikiwemo na zile nyimbo zote 18 kutoka kwenye album ya AfroeastView attachment 1399572
Wap hapo mkuu, mi sijona
Harmonize | Audiomack hapo kwenye kusearch andika Harmonize,zitakuja nyimbo zote za Harmonize zikiwemo na zile nyimbo zote 18 kutoka kwenye album ya Afroeast
View attachment 1399639
Hapo kwenye find your soulmate tu ndo nataka[emoji7][emoji7]Harmonize | Audiomack hapo kwenye kusearch andika Harmonize,zitakuja nyimbo zote za Harmonize zikiwemo na zile nyimbo zote 18 kutoka kwenye album ya Afroeast
View attachment 1399639
Hana mkosi.Hata ngoma ya singeli wameifuta? Dogo ana mkosi huyo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Owkey Sawa, mimi nilisearch album mkuuHarmonize | Audiomack hapo kwenye kusearch andika Harmonize,zitakuja nyimbo zote za Harmonize zikiwemo na zile nyimbo zote 18 kutoka kwenye album ya Afroeast
View attachment 1399639
Harmonize | Audiomack hapo kwenye kusearch andika Harmonize,zitakuja nyimbo zote za Harmonize zikiwemo na zile nyimbo zote 18 kutoka kwenye album ya Afroeast
View attachment 1399639
Write your reply...kuna mtu alisema ile album hakuna hata nyimbo itakayo heat kimataifa kwa kuwa chemistry ya Konde na wasanii wengine ni hafifu compared to Diamond,mtoa mada alitukanwa saana,leo tunaona matokeo
Nyimbo 18 nyingi ujue, haiwezekani kutoa kwa wakati huu, halafu kuna collaborations, hao wahusika unawapata wapi kirahisi?Harmonize toa nyingine there is no bad publicity kwa artist yeyote, toa nyingine uonyeshe uwezo wako kipindi hiki hiki lol