Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,274
- 12,244
Huyo huyo mkuu na ndio partner mkubwa wa huyo bwana mdogo hivi sasaHbaba huyu huyu ambaye kutwa anazunguka kwa waganga kusafisha nyota iliyoharibika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyo mkuu na ndio partner mkubwa wa huyo bwana mdogo hivi sasaHbaba huyu huyu ambaye kutwa anazunguka kwa waganga kusafisha nyota iliyoharibika
Sasa unammind jamaa kwani yeye ndio kazifuta huko Boomplay, Duuh wabongo bwana[emoji16]Acha chuki ww sampling za beat mbona zinanyika sana,chuki haijengi afu hata haikusaidii kwa chochote
hivi huyu jamaa bado yupo? dokii alimponza sana mdogo wake sa hiv kamtelekezaMwanangu we ukitoka usirudi,
Fanya tu tupate dishi tuishi gudi,
Watakupa maseke kusudi,
Ili tu wakutoe kwenye mudi,
CC. Rich Mavocal Babilon
yupo pale kwa Abidadhivi huyu jamaa bado yupo? dokii alimponza sana mdogo wake sa hiv kamtelekeza
Umeongea point kubwa Sana bidada.Apambane na vikwazo,Apige kazi, aepuke vijembe beef chuki atafika mbali.But naona kuna watu wanamsapoti sababu hawapatani na Mondi hii hatari sana maana hawa hawapo kwa mapenzi ya kweli wapo pale kumuumiza mtu flani awe nao makini maana muda ukienda na interest zao huweza kubadilika
una akili sana mdogo wangu,bonge la pointApambane na vikwazo,Apige kazi, aepuke vijembe beef chuki atafika mbali.But naona kuna watu wanamsapoti sababu hawapatani na Mondi hii hatari sana maana hawa hawapo kwa mapenzi ya kweli wapo pale kumuumiza mtu flani awe nao makini maana muda ukienda na interest zao huweza kubadilika
Duh sio kwa mapovu haya, jamaa kaleta tu taarifa sidhani kama anakosa loloteAcha chuki ww sampling za beat mbona zinanyika sana,chuki haijengi afu hata haikusaidii kwa chochote
Niukweli kabisa yakuwa mtoa mada Hana makosa , lakin Hawa team konde gang wanaona kwamba wameonewa Sana nailihali itifaki imefata msingi.Duh sio kwa mapovu haya, jamaa kaleta tu taarifa sidhani kama anakosa lolote
Kwa nini unasema anashindana ???Niukweli kabisa yakuwa mtoa mada Hana makosa , lakin Hawa team konde gang wanaona kwamba wameonewa Sana nailihali itifaki imefata msingi.
Kitu kingine ninachokiona mm kwa harmonize nikwamba anajaribu kushindana na watu ambao hawana habari kwamba yeye nahitaji ushindani ,hili liko wazi kabisa.
Sasa anaoshindana nao wanamuangalia2 hawana hata habari nae,..
Kiukweli ilimbidi huyu bwana atulize akili ili aweze kufanya biashara ya mziki ili ili aende mbali zaidi nasio kufanya mashindano ya mziki maana hata anaoshindana nao hawamfuatilii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina maana kwamba akiyoa album nivibaya,. Kama unafuatilia vizur mziki wa harmonize Kuna baazi ya verse zinasibiyisha yakuwa Yuko kiushindani zaidi. Anachokifanya yeye nikuwaaminisha mashabiki wa WCB na wasanii wa WCB yakuwa anauweza mziki pasi na uwepo wa hao WCB .
Kwa nn alimponza?hivi huyu jamaa bado yupo? dokii alimponza sana mdogo wake sa hiv kamtelekeza
Niukweli kabisa yakuwa mtoa mada Hana makosa , lakin Hawa team konde gang wanaona kwamba wameonewa Sana nailihali itifaki imefata msingi.
Kitu kingine ninachokiona mm kwa harmonize nikwamba anajaribu kushindana na watu ambao hawana habari kwamba yeye nahitaji ushindani ,hili liko wazi kabisa.
Sasa anaoshindana nao wanamuangalia2 hawana hata habari nae,..
Kiukweli ilimbidi huyu bwana atulize akili ili aweze kufanya biashara ya mziki ili ili aende mbali zaidi nasio kufanya mashindano ya mziki maana hata anaoshindana nao hawamfuatilii.
Sent using Jamii Forums mobile app

