Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Rapcha kafakisha humoNaona Ali chelewa kuiweka, mi track yangu Kali ni kila siku🤒
Ameharibu wimbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rapcha kafakisha humoNaona Ali chelewa kuiweka, mi track yangu Kali ni kila siku🤒
Dah Jamaa kazingua, reality zime kuwa nyingi🤒.Rapcha kafakisha humo
Ameharibu wimbo
Umeona eeehDah Jamaa kazingua, reality zime kuwa nyingi🤒.
👉Ki Spanish kime zidi
Ila chorus ya kontawa ni 🔥🔥, sijui kwanini Hawa kuirudua mwishoni??Umeona eeeh
Yap, Afu ana toa back to back, na zote Kali sanaThe best hip hop album in recent years
Sija Elewa aisee, ngoma ana toa Kali, sema hazi pigwi.Iv uyu kijana aligombana nini ba washikadau wa hii game maana anakwama sehem ambayo haijulikan
Yangu Mimi ni kila sikuCheers ndio ngoma yangu bora…
Favorite track Yako ni ipi??Album haichoshi kusikiliza, nimemkubali killer[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Huwezi kutu uzia sura, uliyo ipaka takataka 😂🤣🤣🤒Tukiwa na kiu tunakunywa maji matitu _ kila siku
Hata uziweke siku kwenye friji hazigandi
We kunywa serengeti ila maisha ni safari
Bro mbona killer ni Kama ana baniwa hivi??, Hakuna show na hata redioni Mara chache Sana??Album haichoshi kusikiliza, nimemkubali killer[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Niki pata Michele huwa naenda zangu Zanzibar jambiani.Tukiwa na kiu tunakunywa maji matitu _ kila siku
Hata uziweke siku kwenye friji hazigandi
We kunywa serengeti ila maisha ni safari