Halafu nyie wanaume sijui mnatakaje., wanawake wasiopaka make up hamuwaangalii hata kidogo mnawapna nsyuka, mfn mzuri akiwekwa yule sijui ndo ebitoke mnaponda weeee! Tukiweka make up mnatukimbilia speed halafu mitandaoni mnajidai hampendi. Isingekuwa nyie kuwa picky na kudanganywa na make ups unadhani wangapi wangehangaika nao namna hii? Hamjitambui