Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Mods wako kimya...PakaJimmy thanx kwa kutuwakilisha na kutupa taarifa.
Nilimpigia simu na kuongea naye kirefu sana. Naamini anafarijika tunapomjali hata kwa salaam.
Nina maombi kwa MODS na INVISIBLE.
Kama inawezekana tudundulize sh mia mia zetu kwa wazee wa jukwaa kisha zimfikie kwa ajili ya kununulia dawa na matibabu. Just kumsaidia maana leo kwake kesho kwangu.
Kwa kuanza nitatuma jioni la leo shs 10,000/- na text ya kuelekeza mchango ni wa nini. Nitatuma endapo ombi la kumchangia Lunyungu litakubaliwa. Sijali itikadi, imani, ukabila wala rangi. natukuza UTANZANIA na UDUGU.
Nasubiri jibu ktuoka kwa mods au Invisible
Naona MODS hawataki mwenzetu asaidiwe ndo maana wanipita kimya kimya hii thread.Naona Mods wako kimya...
Hey mods, could you pls expedite the launch of this vital initiative by Msanii!
Thx Pj kwa info nimetoka kuongea na na Lunyungu kwa sim kwakweli anaumwa sana pia nimeongea na Pj maana walikuwa wote mda huu KIA anajiandaa kupanda ndege kuja Dar ili usiku aende nje kwa matibabu zaidi,Pj big up sana kwa msaada ulioonyesha maana nilikuwa nakskia unatafuta wheel chair na kuhangaika kumbeba ili apande kwenye ndege,Mungu atakulipa .Lunyungu Mungu ni mwema na hata kuacha daima maana imeandkwa ombeni lolote kwa jina langu nasi tunaomba uzima kwajili yako maana If God is with us who will be agaist us?GET WELL.
Ndugu wanaJF,
...na kweli alinielekeza kwake maeneo ya Njiro, nikafika, na kwa mara ya kwanza tangu dahari tukafahamiana!.
Kwakweli huyu ndugu jamani anaumwa!...amekuwa totally incapacitated, na ni wa kupewa msaada kwa kila movement anayohitaji...sina maneno zaidi ya kusema ANASIKITISHA!