Alert: Pokeeni Salamu Toka Kwa JF Member-Lunyungu.

Alert: Pokeeni Salamu Toka Kwa JF Member-Lunyungu.

Thanks for the update PJ, you going to see him tells a lot about you as a person, may God bless you son.. We'll keep our brother in our prayers and hope that he gets well soon and join us in this Forum Inshallah.
 
He will be in our prayers...

Thanks for the info and updates PJ
 
WAKUU
leo alfajiri nilipata nafasi ya kuongea na mwenzetu LUNYUNGU akiwa hispitali India
Anawasalimu sana na anaimiss JF kunoma. Kuhusu maendeleo ya afya yake, amepata huduma nzuri tangu apokelewe mpaka sasa. ananiambia kuwa bado wanamfanyia vipimo zaidi na inawezekana wasimchanje maana hata dawa anazotumia sasa zimempa haueni kubwa. Anatukumbuka na anaomba tuendelee kumuombea uzima.

Kwa jinsi nilivyoongoea naye nimegundua kitu kimoja kwamba wenzetu wanajali sana ubora wa huduma wanayoitoa kwa mgonjwa na wanatumia vyema resources zao kuhakikisha sekta ya afya inakuwa bora zaidi. Inawezekana baada ya muda mfupi tukaungana na mwenzetu hapa akiwa salama salimini.

Ujumbe wangu kwa Hospitali ya Muhimbili ---- SHAME on YOU, read my lips
 
WAKUU
leo alfajiri nilipata nafasi ya kuongea na mwenzetu LUNYUNGU akiwa hispitali India
Anawasalimu sana na anaimiss JF kunoma. Kuhusu maendeleo ya afya yake, amepata huduma nzuri tangu apokelewe mpaka sasa. ananiambia kuwa bado wanamfanyia vipimo zaidi na inawezekana wasimchanje maana hata dawa anazotumia sasa zimempa haueni kubwa. Anatukumbuka na anaomba tuendelee kumuombea uzima.

Kwa jinsi nilivyoongoea naye nimegundua kitu kimoja kwamba wenzetu wanajali sana ubora wa huduma wanayoitoa kwa mgonjwa na wanatumia vyema resources zao kuhakikisha sekta ya afya inakuwa bora zaidi. Inawezekana baada ya muda mfupi tukaungana na mwenzetu hapa akiwa salama salimini.

Ujumbe wangu kwa Hospitali ya Muhimbili ---- SHAME on YOU, read my lips


Msanii small correction
Niko Holland siko India tuendelee na naomba sana sana sana sala zenu mie nitapona
 
Msanii small correction
Niko Holland siko India tuendelee na naomba sana sana sana sala zenu mie nitapona

OMG Lunyungu! I am so emotional to see you here! God is Great, I mean Mungu amejibu/pokea sala zetu na kwa REHEMA zake atakujaalia nafuu mapema! Tunazidi kukuombea, upo kwenye sala zetu kila siku...hakuna anayegonga mlango akakataa kukaribishwa

nakuombea moyo mkuu wa uvumilivu, najua umeshavumilia sana maumivu na madhila mengine ya hospitali zetu lakini maadamu upo HOLLAND , naamini kila kitu kitaenda sawa

Basi tunakutakia kila la heri, ngoja kwanza nikafute machozi

God Bless......:welcome:
 
Lunyungu, pole sana mkuu. tupo pamoja. nakutakia afya njema na upone haraka.

nafurahi angalau umeweza kuchungulia jamvini. naamini Mungu anakupa nguvu. ugua pole
 
Pole sana bro.....

Pj na Msanii asanteni sana kwa ujumbe wenu.
 
Wakuu nimeteta tena na FAMILY MEMBER mwenzetu.
Anaendelea vyema na ameweza kuketi kidogo leo (habari njema sana hizi).
Kesho atafanyiwa vipimo, hivyo Mungu akibariki nitamtwangia tena jioni ya kesho kujua afya yake.

Anafurahi kwa mshikamano na maombi yenu hapa. Shukrani nyingi ziende kwa Paka Jimmy ambaye alikwenda kumuona na hatimaye kumsindikiza hata kumpakia ndegeni to dar.

This is tanzania ya watanzania ambayo Nyerere na wazalendo wenzake waliijenga.
 
Back
Top Bottom