Kumbe alikuwa mwiigizaji?Mwenyekiti wa chama cha Waigizaji Tanzania (TDFAA) bwana Chiki mchoma Amesema Alex Korosso maarufu kama Simba ambaye amejiua kwa kujipiga risasi baada ya kumuua kijana mmoja aitwaye Gift kwa kumpiga risasi alikuwa mtunza hazina wa kikundi hicho cha Waigizaji- Tanzania kilichopo Dar es Salaam.
Pia bwana korosso alikuwa mwanachama wa kikundi hicho.
Ngoja tufunge makabulasha tuilete hapaHuyo koroso movie yake ambayo amewah kuigiza ni ipi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Duh hatari.Ndio
Hhaaha baada ya kufi kupambana na Ukosefu wa Ajira ila tena kutokomea na hela za Watu.Kumbe alikuwa anadaiwa ndio maana akaamua kufanya yale maigizo pale bar
hapa labda wanataka kuzidiana ujanja kwa hali ya sasa pesa ya kikundi huwa na wapiga sahihi zaidi ya watatu hii ya kumpa mtu mmoja akaae nazo kwenye kibubu chake inaonyesha wazi hao waigizaji kama kioo cha jamii basi wana tatizo ama uelewa hafifu matangazo yote hayo na mengine wanashiriki kuyafanya kuhusu account za vikundi bado wanaamini kibubu kukaa kwa mtu?Zimekufa na yeye
Kama zilikuwa kwenye akaunti yake binafsi, nafikiria chama watapataje hizo hela kwa kweli..Alikuwa nazo kwenye ROHO? Mnataka kupiga kijanja!
Huenda kuna account yao ila yeye ndo alikuwa the top kwenye mambo ya financial kuhusu utunzajihapa labda wanataka kuzidiana ujanja kwa hali ya sasa pesa ya kikundi huwa na wapiga sahihi zaidi ya watatu hii ya kumpa mtu mmoja akaae nazo kwenye kibubu chake inaonyesha wazi hao waigizaji kama kioo cha jamii basi wana tatizo ama uelewa hafifu matangazo yote hayo na mengine wanashiriki kuyafanya kuhusu account za vikundi bado wanaamini kibubu kukaa kwa mtu?
Kama hana hela amewezaji kumiliki mguu wa kuku?
Ilikuwaje chama kiweke kwenye akaunti yake binafsi?! Hizo zake labda kama aliandika mahali.Kama zilikuwa kwenye akaunti yake binafsi, nafikiria chama watapataje hizo hela kwa kweli..