Alex Korosso afa na hela za kikundi cha Uigizaji

Alex Korosso afa na hela za kikundi cha Uigizaji

Jamaa mjinga....mwanaume ukitaka kujiua nenda ita mkeo na watoto wako waage kisha jilipue..siyo unaua watu ambao hawana hatia yeyote ile.

Kufa kijinga namna hiyo kisa mipombe ya kunywa bila kipimo na busara.

Poleni wanakikundi - kama docs zipo sawa basi wakati wa mirathi mtaandika demand note kwenda mahakamani.
Kweli ila jamaa kafa vibaya au katumia hela za kikundi nini
 
Ndiyo rambirambi yake, hamna haja ya kuchanga tena
 
Mtu yoyote akishajihusisha na bongo movie
Lazima awe na tabia za ajab ajab+misifa

Ova
 
Jamaa mjinga....mwanaume ukitaka kujiua nenda ita mkeo na watoto wako waage kisha jilipue..siyo unaua watu ambao hawana hatia yeyote ile.

Kufa kijinga namna hiyo kisa mipombe ya kunywa bila kipimo na busara.

Poleni wanakikundi - kama docs zipo sawa basi wakati wa mirathi mtaandika demand note kwenda mahakamani.
Hilo jamaa Bora limekufa kutupunguzia vichaa mitaani.

Sema limemuua mtu mwingine innocent.


Rest In Hell Kichaa
 
Back
Top Bottom