RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Chama makini kina katiba iwapo signatory mmoja hayupo. Achana na kifo kuna kuumwa pia.Huenda kuna account yao ila yeye ndo alikuwa the top kwenye mambo ya financial kuhusu utunzaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama makini kina katiba iwapo signatory mmoja hayupo. Achana na kifo kuna kuumwa pia.Huenda kuna account yao ila yeye ndo alikuwa the top kwenye mambo ya financial kuhusu utunzaji
Kumbe alikuwa location anatengeza movie pale Sinza.Sijui kwa nini pombe zimepunguzwa kodi na kuongezwa bei ya miamala ya kutuma na kutoa fedha kwenye simu.Tutaona Mengi saana.Hata yule jamaa aligeuzwa mshikaki huenda alileweshwa kwanzaKumbe alikuwa mwiigizaji?
Mwisho maigizo yakawa ya ukweli!!😂😂Kumbe alikuwa anadaiwa ndio maana akaamua kufanya yale maigizo pale bar
Absolutely truehapa labda wanataka kuzidiana ujanja kwa hali ya sasa pesa ya kikundi huwa na wapiga sahihi zaidi ya watatu hii ya kumpa mtu mmoja akaae nazo kwenye kibubu chake inaonyesha wazi hao waigizaji kama kioo cha jamii basi wana tatizo ama uelewa hafifu matangazo yote hayo na mengine wanashiriki kuyafanya kuhusu account za vikundi bado wanaamini kibubu kukaa kwa mtu?
Aliwahi kuigiza anaua na yeye kujiuaHuyo koroso movie yake ambayo amewah kuigiza Ni ipi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wamwangalie asije kujifanya kuigiza kufa maana bongo muvi hawaeleweki haoKumbe alikuwa mwiigizaji?
Inaitwa The Return to Lemax.Huyo koroso movie yake ambayo amewah kuigiza ni ipi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tumuachie Steve Nyerere afatilie hii ishu.Alikuwa nazo kwenye ROHO? Mnataka kupiga kijanja!
Unaongea na mimi au huyo kiongozi waoNdio kafa na hela za kikundi?
Halafu wewe ni mwanadamu unamzushia marehemu tuhuma unajua hayupo hapa kujitetea?
Yaani unadhani hela za kikundi kilichosajiliwa ukifa unakufa na hela zake?
Hivi una akili wewe mtu?
Wajaja wametumia fursaMkuu ni Kwamba Hizo Hela Pia Zimekufa Pamoja na Koroso?
Umemaliza au bado unaendelea kuropokaNaongea na wewe kiazi unaemtungia marehemu tuhuma za kipumbavu
Hujui hata vikundi vya hiyari vinaendeshaji bank accounts?
Hujui au unajipaka mavi tu hapa?
Vikundi vya hiyari unadhani signatory akifa ndo kaondoka na hela?
Vikundi vya hiyari sio kampuni binafsi za one man signature
Uwe unaongea vitu unavyovijua,eti kafa na hela,punguani wewe!