Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwa sababu kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wakeAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Sio kila muarabu ni MuislamuSema hivi kila Mwalabu huzaliwa akiwa mwislamu na siyo kila binadamu huzaliwa akiwa mwislamu
Hadi nionane na wewe labda haraf unaniogopaga bure tuu unadhani ninabaya nawe mimi ni mtoto mdogo sana kwakoAllahu Akbar.
Wewe unangoja nini?
TaqbirriiiAllahu Akbar.
Wewe na waarabu Uislamu sio wa arabu tu wa kila binaadamu wote.Sema hivi kila Mwalabu huzaliwa akiwa mwislamu na siyo kila binadamu huzaliwa akiwa mwislamu
Mada umeielewa lakini?Bila kumwamini Yesu ndugu yangu sahau kwa habari ya kwenda mbinguni!! Wewe endelea kuamini katika dini badala ya kujitafuta kweli, bila Yesu ndugu ujue kwamba utaenda motoni
Angalia lisije likakuua na wewe! Kuwa makini sana bibi FaizaFoxyKapendeza.
Allahu Akbar.
Hivi Salman Rushied alikuwa mwislamu wa Shia au Sunni?Allahu Akbar.
Wewe unangoja nini?