Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu jamaa ni hatari,Jambazi Alex Massawe akishirikiana na Tapeli Papaa Musofe walimuua Mfanyabiashara na kupora Jumba lake la Floor Tatu Mikocheni ndiyo kisa cha kukimbia Africa Kusini ,huyo Jambazi anatautwa na Interpol nashangaa kwanini akamatwi.
ZAlidhulumu sana watu
Ova
Hata yule wa Hai?Huyo Jambazi ilitakiwa afungwe maana alifanya matukio mengi sana ya hatari na alifundisha ujambazi vijana wengi hadi wengine ni viongozi CCM.
Habari njema kwa wote waislamu na wakristo na wa dini nyingine na wasiokuwa na dini.Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Huu ndio ukweli.Ndio maana watoto wanabatizwa.Sema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwasbb kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wake
Walimuua jamaa kisa nyumba RIP KituliArudishe pesa za wizi na arudi ajibu kesi ya mauaji aliyoyafanya Tanzania.
Huku kwa waislamu hakuna hela,watawapiga vipi.Ila tapeli sio wa kumuamini hata kidogo mtapigwa tukio Waislamu.Keshaona mchongo wa pesa soon atalia mwarabu.
[emoji1][emoji1]Ila Mama Samia una mbwembwe! [emoji16][emoji16][emoji16]
Halafu Wala haturingi!mwamposa ana waongoza sala ya toba kila siku pale kawe