Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Bila kumwamini Yesu ndugu yangu sahau kwa habari ya kwenda mbinguni!! Wewe endelea kuamini katika dini badala ya kujitafuta kweli, bila Yesu ndugu ujue kwamba utaenda motoni
Unaongelea Yesu aliyesema maneno haya au👇👇
Quote from the Holy Qur'an: Maryam (19:30)

قَالَ إِنِّى عَبْدُ ٱللَّهِ آتَىٰنِىَ ٱلْكِتَٰبَ وَجَعَلَنِى نَبِيًّا
(Mtoto-Nabii Issa/Yesu) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii.


Kama ni huyo mbona hata sisi waislamu
Tunmuamini & tunampenda sana
Isipokuwa tu hatumtambui kama Mungu bali ni nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu kwaajili ya wanaisraili
.
 
We mama unatafutaga nini sijui, hii taarifa yanini sasa?

Watu wakikufata PM uwaelimishe kuhusu dini yako waslimu hujibu PM zao.

unawafungulia mpka na uzi kuwasuta wewe sio msikiti.

ila wenye pesa zao wakihamia uislamuni kimbelembele kufungua UZI.

Lengo lako hasa hata silielewagi hapa JF maana huburudishi bali unakera.

hapo utasema haupo JF kumfurahisha mtu, Fine basi pia usikere watu.

Mi sazingine nahisigi wewe ni ka mama samia ila hapana mama samia ana hekima sio ropo ropo na baguzi kama wewe.

Tafuta imam au ustaadh au sheikh ambae karibu na unakoishi lazima kutakua na masjid basi kaongee nae nia yako yakuhitaji kuslim, kiongozi huyo atakupatia muongozo, thabit na utatimiza azma yako hiyo, mambo ya PM sijui unataka nini zaidi kwake nadhani haitokusaidia laah kama una maswali weka hapa hapa utajibiwa na yeye au waislamu wengine, shia na sunni utachagua shahada yako ilalie wapi
 
Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.

Allahu Akbar.

View attachment 2695851

View attachment 2695852
Afadhali jambazi sugu hili. Limekuwa likiishi uhamishoni ili kukwepa mkono wa sheria. Wahalifu wengi huwa wanapenda kujificha kwenye kusilim....Andrew Tate
 
Vp kaachana na mabaya yote

Anyway ni vizuri kwake

Ova

Dunia ya kibiashara kwa sasa inafumukia uarabuni hauoni cristiano ronaldo yuko kusaka fursa huko, waarabu kwa sasa wamefunguka na wameamua kutoa nje mapesa yao dunia ione ndio maana Alex kastuka mapema mapema
 
Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.

Allahu Akbar.

View attachment 2695851

View attachment 2695852
Hatimaye Malebo ameamua kuwa muumini. Mwenzake waliyekua wakipiga wote matukio ambaye baadaye akaja kuokoka na kuja kuwa muimbaji wa nyimbo za Injili kwa miaka mingi aitwaye Munishi, alimshauri sana aachane na maisha yale kamwe hakuwahi kuacha.

Ilifika mahala Munishi ambaye hivi sasa ni Mchungaji huko nchini Kenya,akatunga wimbo kwa ajili ya Alex Massawe uitwao Namlilia Malebo (Malebo ndiyo lilikua jina la kazi la Alex Massawe), akimtaka na yeye arudi kwenye dini na aokoke.

Hatimaye baada ya miaka mingi Alex Massawe ameamua kurudi kwenye dini ingawa si ile ambayo mwenzake alimuita, lakini kikubwa amerudi kundini.

 
Tafuta imam au ustaadh au sheikh ambae karibu na unakoishi lazima kutakua na masjid basi kaongee nae nia yako yakuhitaji kuslim, kiongozi huyo atakupatia muongozo, thabit na utatimiza azma yako hiyo, mambo ya PM sijui unataka nini zaidi kwake nadhani haitokusaidia laah kama una maswali weka hapa hapa utajibiwa na yeye au waislamu wengine, shia na sunni utachagua shahada yako ilalie wapi
kwa utamu huu wa kuwa mkristo unislimishe?

Hivi nyie msikitini mna sifu? Mna abudu? unajua utamu wa praise and worship wewe?

Shuhuda je? ushawahi kutana na kipindi ya shuhuda? so awesome brother...

U kristo ndipo zilipo chemi chemi za uzima na utulivu wa nafsi...

Nampenda Yesu nitamuimba YESU niingiapo na nitokapo na huniambiii kitu kuhusu kuacha dini yangu.

Kila mtu ashinde mechi zake.

Sijawahi utamani uislamu wala hata Muislamu mwenyewe.

Mwanamke tu hata awe na uzuri kama malaika nikigundua tu muislamu Nyege zinanikata namuona kama kaka angu.
 
Jambazi Alex Massawe akishirikiana na Tapeli Papaa Musofe walimuua Mfanyabiashara na kupora Jumba lake la Floor Tatu Mikocheni ndiyo kisa cha kukimbilia Africa Kusini ,huyo Jambazi anatautwa na Interpol nashangaa kwanini akamatwi.
 
Hii deen wenyewe warabu!; wachaga, wandenge, wapemba....... haiwahusu!
[emoji116][emoji116]
: وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mji macca na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

[emoji116][emoji116]
FB_IMG_1690010402581.jpg

ARABS are the true Muslims and the true descendants of Prophet Muhammad (pbuh)..

"Non-Arabs who without shame, called themselves Muslims are just plain Converts whom are lowly cowards with unhonourable souls That were overwhelmed with ease by the Swords of Allah, thus they deserved to be called as our Dogs.."

"Non-Arat muslims deserves to be called as our Dogs.."

Muhammad Al-Arifi Saudi Wahhabi Cleric
 
Ameji position kumpiga mtu pesa, si ndo yule jamaa mwenye Am Hotel Arusha? Pigaji hilo.
 
Back
Top Bottom