Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Spelling haina kiswahili chake?Asili. Rekebisha spelling.
Allahu Akbar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spelling haina kiswahili chake?Asili. Rekebisha spelling.
Allahu Akbar.
Unaongelea Yesu aliyesema maneno haya au👇👇Bila kumwamini Yesu ndugu yangu sahau kwa habari ya kwenda mbinguni!! Wewe endelea kuamini katika dini badala ya kujitafuta kweli, bila Yesu ndugu ujue kwamba utaenda motoni
We mama unatafutaga nini sijui, hii taarifa yanini sasa?
Watu wakikufata PM uwaelimishe kuhusu dini yako waslimu hujibu PM zao.
unawafungulia mpka na uzi kuwasuta wewe sio msikiti.
ila wenye pesa zao wakihamia uislamuni kimbelembele kufungua UZI.
Lengo lako hasa hata silielewagi hapa JF maana huburudishi bali unakera.
hapo utasema haupo JF kumfurahisha mtu, Fine basi pia usikere watu.
Mi sazingine nahisigi wewe ni ka mama samia ila hapana mama samia ana hekima sio ropo ropo na baguzi kama wewe.
Alidhulumu sana watuSio wa kumuamini hata kidogo mtapigwa tukio Waislamu.Keshaona mchongo wa pesa soon atalia mwarabu.
Afadhali jambazi sugu hili. Limekuwa likiishi uhamishoni ili kukwepa mkono wa sheria. Wahalifu wengi huwa wanapenda kujificha kwenye kusilim....Andrew TateAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Vp kaachana na mabaya yote
Anyway ni vizuri kwake
Ova
Bila kumwamini Yesu ndugu yangu sahau kwa habari ya kwenda mbinguni!! Wewe endelea kuamini katika dini badala ya kujitafuta kweli, bila Yesu ndugu ujue kwamba utaenda motoni
Wanabatizwa kila siku kwa Mtume MwamposaAta kuna waislam wengi wanabadili dini leo kuja ukristo na hatusem
😂😂😂 Nimekuelewa sana!Kuna mtu atalia muda si mrefu.
Huyo mwamposa ni jini tuWanabatizwa kila siku kwa Mtume Mwamposa
Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini...
Hatimaye Malebo ameamua kuwa muumini. Mwenzake waliyekua wakipiga wote matukio ambaye baadaye akaja kuokoka na kuja kuwa muimbaji wa nyimbo za Injili kwa miaka mingi aitwaye Munishi, alimshauri sana aachane na maisha yale kamwe hakuwahi kuacha.Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
kwa utamu huu wa kuwa mkristo unislimishe?Tafuta imam au ustaadh au sheikh ambae karibu na unakoishi lazima kutakua na masjid basi kaongee nae nia yako yakuhitaji kuslim, kiongozi huyo atakupatia muongozo, thabit na utatimiza azma yako hiyo, mambo ya PM sijui unataka nini zaidi kwake nadhani haitokusaidia laah kama una maswali weka hapa hapa utajibiwa na yeye au waislamu wengine, shia na sunni utachagua shahada yako ilalie wapi
Malebo hatimaye!Hatimaye Malebo ameamua kuwa muumini. Mwenzake waliyekua wakipiga wote matukio ambaye baadaye akaja kuokoka na kuja kuwa muimbaji wa nyimbo za Injili kwa miaka mingi aitwaye Munishi, alimshauri sana aachane na maisha yale kamwe hakuwahi kuacha...