Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Tumpe pongezi zako kwa kufanya maamuzi yake binafsi, bila kushurutishwa na mtu yoyote...
 
Suala la Mungu yupo au hayupo kwangu hizo ni imani mbili tofauti hakuna mwenye uthibitisho, ila tu uwepo wa dini nyingi sio kigezo cha kusema kuwa ndio kwamba hakuna Mungu.
Kwani nilisema Dini ndicho kigezo pekee cha kusema mimi hakuna Mungu?

Nilikuwa namjibu yule mchangiaji mmoja aliye sema kwamba dini yake pekee ndio yenye ukweli na ndio dini ya Mungu.
 
Ukitaka kujua waislamu wana inferiority complex na wapo desperate kwa converts,ona wanavyo hangaika kupiga promo kila mtu akijiunga na dini yao,bila kujua maelfu wanao uacha uislamu kila uchwao na kubatizwa.

Huyo masawe amefuata maslahi sio mjinga kuna fursa kaiona.
 
nyie ndo mnafanya waislamu wanaonekana wote ni majanga. wewe huna tofauti na wale wanaojitoa muhanga na wale waganga wanao tumia maandishi ya kiarabu kupiga ramli.

wewe kwa akili yako unafikiri huyoo mkibosho massawe kaslimu bila sababu??
 

kuna shuhuda moja nilisikiliza.

kuna jamaa alijiunga freemason, wakati anajiunga aliulizwa wewe dini gani, akasema mkristo, akaambiwa tunakusilisha leo na tunakupa jina la kiislamu. ndio itakaa vizur kwenye chama chetu cha Freemason
Hao walimtapeli.
 
Waislamu wanatatizo sana la kiimani. Bila kuishusha imani ya kikristo, bila kuwa desperate kupata waumini wapya na kushangilia imani yao haijakamilika. Yani wapo desperate alafu hapohapo wanaamini wao ndio wanajua kuliko wengine yani wao ndio wenye Mungu na dunia, wengine wasindikizaji, rubbish.
Naam.

Hujakosea kabisa.

Wewe dini gani?
 
Ukitaka kujua waislamu wana inferiority complex na wapo desperate kwa converts,ona wanavyo hangaika kupiga promo kila mtu akijiunga na dini yao,bila kujua maelfu wanao uacha uislamu kila uchwao na kubatizwa.

Huyo masawe amefuata maslahi sio mjinga kuna fursa kaiona.
Ukuaji wa dini unahusisha kuenea kwa dini moja-moja na kuongezeka kwa idadi ya wafuasi wa kidini ulimwenguni pote. Katika sosholojia, kuacha dini ni kuenea au kukua kwa dini, mara nyingi baada ya kipindi cha secularization hapo awali. Kwa kawaida takwimu hupima idadi kamili ya wafuasi, asilimia ya ukuaji kamili kwa mwaka, na ukuaji wa wanaobadili imani duniani.

Tafiti katika karne ya 21 zinaonyesha kwamba, kulingana na asilimia na kuenea duniani kote, [1] [2] Uislamu ndiyo dini kuu inayokuwa kwa kasi zaidi duniani. [3] Utabiri wa kina wa kidini wa 2050 na Kituo cha Utafiti cha Pew unatabiri kwamba idadi ya Waislamu duniani itaongezeka kwa kasi zaidi kuliko idadi ya Wakristo - hasa kutokana na wastani wa umri mdogo na kiwango cha juu cha uzazi cha Waislamu. [4] [5] [6]
 
Unaongelea Yesu aliyesema maneno haya au👇👇
Quote from the Holy Qur'an: Maryam (19:30)
Yesu ni Yesu na isa ni isa, Yesu hajawahi tamka neno lolote ndani ya Quran, isa kstamka mengi tu ndani Quran
قَالَ إِنِّى عَبْدُ ٱللَّهِ آتَىٰنِىَ ٱلْكِتَٰبَ وَجَعَلَنِى نَبِيًّا
(Mtoto-Nabii Issa/Yesu) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii
Acha kuhariri aya za Quran na kuingiza jina la Yesu
 
Jambazi Alex Massawe akishirikiana na Tapeli Papaa Musofe walimuua Mfanyabiashara na kupora Jumba lake la Floor Tatu Mikocheni ndiyo kisa cha kukimbilia Africa Kusini ,huyo Jambazi anatautwa na Interpol nashangaa kwanini akamatwi.
 

Attachments

  • Screenshot_20230722-135012.png
    Screenshot_20230722-135012.png
    193.9 KB · Views: 6
Alex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.

Allahu Akbar.

View attachment 2695851

View attachment 2695852
Massawe ni opportunist na jambazi mzoefu.
Ameona ajifiche nyuma ya dini inayoamini majini huenda yakamlinda na maovu yake.
 
Sema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwasbb kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wake
Hata Mwigulu alisema kila mtanzania huzaliwa akiwa CCM by nature 😆
 
Hata Mwigulu alisema kila mtanzania huzaliwa akiwa CCM by nature [emoji38]
Kwani CCM ni dini/imani au ni philosophy ya ki siasa huyu anaanda mazingira ya kupata uraisi ndo lengo lake kuu iko radhi kuongea chochote ili mradi kina mpa kura.
 
Back
Top Bottom