Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Sema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwasbb kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wake
How do you know? Scientically, biologically? Proof please.
Haya, maimani haya, yamejaa upuuzi.
Sipati picha Lionel Messi, angebadilisha dini au, angekuwa Arab!
 
Allahu Akbar
Alikimbilia nje akiwa anasakwa na polisi kwa udi na uvumba

Kesi zake ziliisharudi nchini?

Aui gia ya kutaka mama Samia amsamehe dhambi zake kisa kawa muislamu mwenzie

Je alisharrudi
 
Mbona mnaaminisha msemo huu ambao hauna hata chembe ya mantiki?
Sema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwasbb kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wake
 
Na hapa ndo tatizo la waislam,hata mshenzi osama ni hivihivi,baada yakutumiwa na marekani kuisambaratisha urusi,walivyogeukana akajificha kwenye mwavuli wa uislam,nao wakampokea
 
Yesu ni Yesu na isa ni isa, Yesu hajawahi tamka neno lolote ndani ya Quran, isa kstamka mengi tu ndani Quran

Acha kuhariri aya za Quran na kuingiza jina la Yesu
Kwahiyo Yesu na Jesus ni watu wawili tofauti????????
Hapo ni lugha tu ila anayeongelewa ni mtu mmoja
Jesus-kingereza
Yesu-swahili
Issa-arab
Etc
wachina, wahindi, wajapani wanamuita tofauti na umuitavyo wewe ila ni yeyeeee😝
NB:Usipanic ww sema kama unahitaj uletewa maneno yake mwenyew ktk bible akisema kuwa yeye sio Mungu na mengineyo
 
Nimemisi cocktails za paradiso na mandazi ya jehanamu achana na grants za kuzimu
 
Yesu kwa kiarabu sio isa, unalijua hilo au mpaka ufundishwe lugha ?

Cha kushabikia kitu usichokijua.
Kwahiyo umehama kwenye mada unatak unifundishe arabic???
Haya nipo hapa nakusikiliza nifundishe ukimaliza ujibu swali Unamjua Yesu haumtambui Jesus

sasa jichanganye nenda nchi nyingine uulize kuhusu yesu usikilie hilo jina kama wanamjua kwa ilo jina
 
Sema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwasbb kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wake
Mnalishana matango pori na kukaririshwa kwa bakora madrasa.[emoji56][emoji15]

Mtu ambaye hajui kitabu ni nini wala imani mnamuitaje??[emoji101]
Au mnamuita muislamu![emoji101]
[emoji116][emoji116]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ رُوحًا مِّنْ أَمْرِنَا ۚ مَا كُنتَ تَدْرِي مَا الْكِتَابُ وَلَا الْإِيمَانُ وَلَـٰكِن جَعَلْنَاهُ نُورًا نَّهْدِي بِهِ مَن نَّشَاءُ مِنْ عِبَادِنَا ۚ وَإِنَّكَ لَتَهْدِي إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ

[ ASH-SHUURA - 52 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa amri yetu. Ulikuwa hujui Kitabu ni nini, wala Imani. Lakini tumekifanya kuwa ni Nuru ambayo kwayo tunammwongoa tumtakaye katika waja wetu. Na hakika wewe unaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.

Muislamu wa kwanza huyu hapa!
[emoji116][emoji116]
قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ قُلْ إِنِّي أُمِرْتُ أَنْ أَكُونَ أَوَّلَ مَنْ أَسْلَمَ ۖ وَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُشْرِكِينَ

[ AL - AN-A'AM - 14 ]
Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina.
 
Endelea kunywa kvant
Na peponi kwa sana ni mito ya ulevi hupimiwi.[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ

[ MUH'AMMAD - 15 ]
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ulevi yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
 
Kwahiyo umehama kwenye mada unatak unifundishe arabic???
Haya nipo hapa nakusikiliza nifundishe ukimaliza ujibu swali Unamjua Yesu haumtambui Jesus

sasa jichanganye nenda nchi nyingine uulize kuhusu yesu usikilie hilo jina kama wanamjua kwa ilo jina
Endelea na ngumbaru kijana wengine tulishahitimu elimu ya juu, utaelewa kila kitu siku ukihitimu.
 
Back
Top Bottom