Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Tunaposema ni yeye lichakutajwa kwa majina tofauti tunazingatia ufanano wa matukio muhimu na historia yake kama inavyoelezwa ktk vitabu tofauti vya Mwenyezi Mungu mfano
1.Kuzaliwa kwake pasina mamaake kuguswa au kuingiliwa na mwanaume
2.jina la mama yake
3.baadhi ya miujiza yake aliyokuja nayo etc
Ndio maana nimekwambia hatuna mtu anaitwa Isa ambae Babu yake ni Imran na mjomba ake ni haruni

Biblia nzima hakuna ,biblia ina
Amram , Musa , haruni na Miriam

Apo ndipo pedophile Muhammad alichemka
 
We mama unatafutaga nini sijui, hii taarifa yanini sasa?

Watu wakikufata PM uwaelimishe kuhusu dini yako waslimu hujibu PM zao.

unawafungulia mpka na uzi kuwasuta wewe sio msikiti.

ila wenye pesa zao wakihamia uislamuni kimbelembele kufungua UZI.

Lengo lako hasa hata silielewagi hapa JF maana huburudishi bali unakera.

hapo utasema haupo JF kumfurahisha mtu, Fine basi pia usikere watu.

Mi sazingine nahisigi wewe ni ka mama samia ila hapana mama samia ana hekima sio ropo ropo na baguzi kama wewe.
Kuna kitu umeongea hapa, nimekihisi kwa muda sasa na hapa naanza kuamini
 
Muhammad alisema devil (shetani) wake kutoka majini anamshauri mema na ni muislamu,

Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good saḥīḥ Muslim 2814
Kwanza kabisa inakubidi utambuwa Mwenyezi Mungu ndio muumba wa viumbe vyote, pia ameumba ardhi na mbingu pamoja na vilivyomo,
Quote from the Holy Qur'an: Taa-Haa (20:6)
Ni vyake vyote viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi, na viliomo baina yao, na viliomo chini ya ardhi.

Pili tuje kwenye majini sasa,
Hawa ni viumbe miongoni mwa viumbe alivyoumba mwenyezi Mungu( Hawajajiumba wenyewe wala hawajatokea tu by chance au kuumbwa na shetani hapa sifa na uwezo wa uumbaji ni wa mwenyezi mungu pekee, hapa ndo maana Yesu anakosa sifa za kuwa mungu kwakuwa ameumbwa na hajawai na hawezi kuumba hata inzi au jani la mti)
Baada ya kujua kuwa ni viumbe, pia katika majini wapo wanaofata amri za mungu na kuwa watiifu na pia wapo walio hasi kwenda kinyume na maamrisho ya muumba wao kundi hili sasa ndilo wanaitwa mashetani ambao wamelaaniwa yaani wapo mbali na rehema za Allah na kiongozi wao ni Ibilisi.

Miongoni mwa sifa za majini ni kuwa hawana umbo rasmi au kwa lugha nyingine wanawza kujibadilisha kuwa na umbo lolote, pia hawaonekani kwa haya macho yetu(sisi hatuwaoni ila wao wanatuona)
Pia idadi yao ni kubwa sana wametapakaa sehemu kubwa ni vile hatuwaoni tu
Mashetani wanatumika na waganga na waiga ramli ktk mambo yao ya uchawi na uasi.

Sasa sijajua shida inatoka wapi ktk hiyo hadith au haujaielewa unahitaj ufafanuzi??

Na Allah anajua zaidi
 
Ndio maana nimekwambia hatuna mtu anaitwa Isa ambae Babu yake ni Imran na mjomba ake ni haruni

Biblia nzima hakuna ,biblia ina
Amram , Musa , haruni na Miriam

Apo ndipo pedophile Muhammad alichemka
Kwahiyo unamkana bikra Maria mama wa mungu wenu humjui???

Alafu unavyosema biblia nzima hakuna hayo majina unaongelea biblia ipi?? Maana kila siku mnabadilisha kufiti mahitajio yenu namna mnavyohitaji iwe.
 
Sema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwa sababu kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wake
Hao wazazi wake inakuwaje na wao wasibaki kwenye dini ya asili hadi kupelekea uasi?
 
kwenda kinyume na maamrisho ya muumba wao kundi hili sasa ndilo wanaitwa mashetani ambao wamelaaniwa yaani wapo mbali na rehema za Allah na kiongozi wao ni Ibilisi.
Shetani wa muhammad anamshauri kufanya mema

Muhammad alisema devil (shetani) wake kutoka majini anamshauri mema na ni muislamu,

Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good saḥīḥ Muslim 2814
 
Alafu unavyosema biblia nzima hakuna hayo majina unaongelea biblia ipi??
Hakuna Cha biblia ipi acha kubadili mada kijinga

Biblia haina mtu anaitwa Isa babu yake ni Imran na mjomba ake ni haruni

Biblia Ina Imran baba yake Musa ,haruni na Miriam

Pedophile Muhammad alichanganya madesa kwenye jina la Miriam na Mariam akajua ndio huyo wakati anatunga story zake za Isa
 
Shetani wa muhammad anamshauri kufanya mema

Muhammad alisema devil (shetani) wake kutoka majini anamshauri mema na ni muislamu,

Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good saḥīḥ Muslim 2814
Sasa haujaelewa nini ndugu yangu,
Kinachoongelewa hapo ni sawa na mada ya huu uzi huyu mtu kasilimu kwa sasa sawa na huyo jini uasi(shetani) aliekuwa akitaka kumpotoa mtume kwa msaada wa Allah akamkinga dhidi yake na mwishiwe akasilimu yani akaacha uasi na akawa jini mwema mchamungu na muislam kama alivyosikimu ndugu yetu masawe
Bado ww nakuombea allah akuongoe uihue haki usilimu kabla hujafa in shaa allah

Mashetani wanatuzunguka na tunao wengi nyie mnawaitaga mapepo naskia had kanisani kuna kitengo maalum cha kutoa mapepo sasa nashangaa usichoelewa kuhusu hiyo hadithi au una pepo la ubishi na kutoelewa??? Kesho ukaombewe madhabauni mkuu
 
Alafu unavyosema biblia nzima hakuna hayo majina
Nimekwambia biblia haina mtu anaitwa Issa ambae Babu yake ni Imran na mjomba ake ni haruni

Tukilazimisha issa awepo kwenye biblia
Inatakiwa tumuweke
Isa awe na wajomba Musa na Haruni na awe na Babu Imran na Mama yake awe Miriam

Ndio maana tunawaambia bakini nae Isa anaeatosha nyie waislamu
 
Hakuna Cha biblia ipi acha kubadili mada kijinga

Biblia haina mtu anaitwa Isa babu yake ni Imran na mjomba ake ni haruni

Biblia Ina Imran baba yake Musa ,haruni na Miriam

Pedophile Muhammad alichanganya madesa kwenye jina la Miriam na Mariam akajua ndio huyo wakati anatunga story zake za Isa
Unazunguka sasa mwisho unarudi pale pale,
Mada hii haujamaliza unataka kuanzisha nyingine- Qur'an sio maneno ya Mtume ni maneno(kitabu) cha Mwenyezi mungu(kama ilivyo zaburi, injiri & torati) ispokuwa hii iliyopokelewa kupitia kwa mtume hii mada nyingine tuakize kanza hii ya Yesu Vs issa, Jesus na majina yake mengine
 
Hadi nionane na wewe labda haraf unaniogopaga bure tuu unadhani ninabaya nawe mimi ni mtoto mdogo sana kwako
Kuwa Muislam utaelewa kuwa hakuna Muislam anaemuogopa binadam mwenake.

 
Mummad hajakijibu ukaridhika

Shetani uyu apa anamshauri mema pedophile Muhammad

Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good saḥīḥ Muslim 2814
Bado sijaelewa huyo shetani ndio nani au ni nini? Hebu nisaidie kuelewa hapo mkuu.
 
Waislamu atawaweke upanga shingoni sipo tayari kujiunga na cult ya majini na wabusu jiwe
Haya kama hutaki endelea kubaki huko
Hakuna kulazimishana ktk dini, aliyetuuma ametuoa hiari itakuwa mm nikulazimishe kweli,
Quote from the Holy Qur'an: Al-Baqara (2:256)

Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
Pia
hiari yako kumshukuru muumba wako ukamtii au ukaamua kuasi ukmkufuru

Quote from the Holy Qur'an: Al-Insaan (76:3)
Hakika Sisi tumembainishia Njia. Ama ni mwenye kushukuru, au mwenye kukufuru.

NB:Ila angalizo ndugu yangu naskia papa kashapitisha sheria wanaune kuelewa subiri ikija Tz kazi imeisha😂
 
Haya kama hutaki endelea kubaki huko
Hakuna kulazimishana ktk dini, aliyetuuma ametuoa hiari itakuwa mm nikulazimishe kweli,
Koran 4:89. Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Allah. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi
 
Koran 4:89. Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Allah. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi
Swadakta
 
Back
Top Bottom