Ha ha haAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Ila waislamu wakibatizwa mnaua wachungajiAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Hongereni kupata mwanachamaHajabadli jinsia, katoka kizani kaingia kwenye Nuru.
Kuna mtu anasetiwa huko πHajabadli jinsia, katoka kizani kaingia kwenye Nuru.
Ni mpumbavu peke yake anaye weza kuabudu marehemuAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Ni mpumbavu peke yake anaye weza kuabudu marehemuAlex Massawe, mtu maarufu sana Tanzania, ameamua kusilimu baada ya kuyafahamu mema ya Uislam kupitia kwa mwanawe ambae alikuwa Amesilim kabla yake huko nchini Afrika Kusini.
Allahu Akbar.
View attachment 2695851
View attachment 2695852
Nyokoroo bora ungesema miila za kiafrika...Dini sio uislam sio ukristo ni danganya toto ili kumtawalaa mwanadamuSema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwa sababu kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wake
Mnauhakika katubu kweli au anakula timing kama beki 3!!??Hajabadli jinsia, katoka kizani kaingia kwenye Nuru.
bora wametupokea hilo jambazo manake lilikuwa linachafua ugalatia. waende tu wakahangaike nalo.Hajabadli jinsia, katoka kizani kaingia kwenye Nuru.
π π π π π πAhaaa kuna kitu anakitafuta pesa
Basi hata awatafute wale aliyowazulumu angalau awafute machozi ,na slimu yake itakuwa imekubaliwa bila shida kwa Mola wake!!bora wametupokea hilo jambazo manake lilikuwa linachafua ugalatia. waende tu wakahangaike nalo.
Jamaa wanaamini kwenye UMMATI means wingi wa watu na si wenye moyo safi.Tapeli Sio wa kumuamini hata kidogo mtapigwa tukio Waislamu. Keshaona mchongo.