Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Tungesikitikia sana, mtu anaetoka kwenye nuru na kuingia kizani.
Koran 9:5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia...
 
Huu uzi siyo wa mada za "kesi zake".

Hapa ni mada ya AM kashahadia na kawa Muislam kwa ushahidi kabisa.
Mwislaamu unatakiwa uwe msafi ndani na nje, kwenye nuru hadi kwenye giza,siyo kwenye nuru tu unaonekana msafi kumbe gizani ni mchafu hatari hadi siku moja Mungu anaamua kukumbua!!
 
Kwahiyo Yesu na Jesus ni watu wawili tofauti????????
Hapo ni lugha tu ila anayeongelewa ni mtu mmoja
Jesus-kingereza
Yesu-swahili
Issa-arab
Etc
wachina, wahindi, wajapani wanamuita tofauti na umuitavyo wewe ila ni yeyeeee[emoji13]
NB:Usipanic ww sema kama unahitaj uletewa maneno yake mwenyew ktk bible akisema kuwa yeye sio Mungu na mengineyo
Mimi mwenyewe Ni Mungu ukibisha let's ushahidi Kama Mimi sio Mungu
 
Kwanza kabisa inakubidi utambuwa Mwenyezi Mungu ndio muumba wa viumbe vyote, pia ameumba ardhi na mbingu pamoja na vilivyomo,
Quote from the Holy Qur'an: Taa-Haa (20:6)
Ni vyake vyote viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi, na viliomo baina yao, na viliomo chini ya ardhi.

Pili tuje kwenye majini sasa,
Hawa ni viumbe miongoni mwa viumbe alivyoumba mwenyezi Mungu( Hawajajiumba wenyewe wala hawajatokea tu by chance au kuumbwa na shetani hapa sifa na uwezo wa uumbaji ni wa mwenyezi mungu pekee, hapa ndo maana Yesu anakosa sifa za kuwa mungu kwakuwa ameumbwa na hajawai na hawezi kuumba hata inzi au jani la mti)
Baada ya kujua kuwa ni viumbe, pia katika majini wapo wanaofata amri za mungu na kuwa watiifu na pia wapo walio hasi kwenda kinyume na maamrisho ya muumba wao kundi hili sasa ndilo wanaitwa mashetani ambao wamelaaniwa yaani wapo mbali na rehema za Allah na kiongozi wao ni Ibilisi.

Miongoni mwa sifa za majini ni kuwa hawana umbo rasmi au kwa lugha nyingine wanawza kujibadilisha kuwa na umbo lolote, pia hawaonekani kwa haya macho yetu(sisi hatuwaoni ila wao wanatuona)
Pia idadi yao ni kubwa sana wametapakaa sehemu kubwa ni vile hatuwaoni tu
Mashetani wanatumika na waganga na waiga ramli ktk mambo yao ya uchawi na uasi.

Sasa sijajua shida inatoka wapi ktk hiyo hadith au haujaielewa unahitaj ufafanuzi??

Na Allah anajua zaidi
Kama Allah ndio anajua zaidi mlete hapa ajibu maswali yeye mwenyewe
 
Mwislaamu unatakiwa uwe msafi ndani na nje, kwenye nuru hadi kwenye giza,siyo kwenye nuru tu unaonekana msafi kumbe gizani ni mchafu hatari hadi siku moja Mungu anaamua kukumbua!!
Uislam ni mwema sana, hauendi kwa fikra za watu. Tuna Qur'an.

Ukifata watu lazima ufanywe kondoo tu.
 
Kwanini mtu wa dini nyingine akibadili dini kuwa muislamu inakuwa habari kubwa sana, wakati huo huo hao waislamu waliohamia ukristoni wako wengi sana na hakuna anayetangaza popote,

Mfano mzuri pale Kawe kwa Mwamposa nadhani waislamu ndiyo wamejaa kuliko hata hao wakristo lakini huiskii popote kama habari..!!

Asili ya mwanadamu ni kuwa 'flexible', hivyo sioni haja ya hizi 'mbwembwe' zote..!
Kutoka gizani kwenda nuruni sio habari kwani ni wajibu, lakini kutoka nuruni kurudi gizani ni habari kubwa na walio gizani wanashangilia kupata mwenzao
 
Hivi Salman Rushied alikuwa mwislamu wa Shia au Sunni?
Maana mwamba yule alikuwa kiboko!
Waache, hata kwenye Qouran wanasema walimsilimisha shetani, sasa kama Ibilisi ni ustaadh unamshangaa Alex?!
 
Alex anaonekana kupenda sana UISLAMU.
Iwe kheri kwake, InshaAllah Mwenyezi Mungu amjalie kwenye chapter yake mpya.
 
Ndio maana matajiri ni wa chache , masikini Wengi, massawe njoo upige pesa baabaangu
 
Back
Top Bottom