Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Mkuu nisome hapo juu. Alex, kesi yake aidha ''atashinda'' au ataenda ''mvua chache''. Na hiyo ni kutokana na support ya serikali yenyewe. Kwa hiyo serikali haijipangi kushinda bali kushindwa
Una umri gani? Au una miaka mingapi?
weeeh ! .....ogopa ! jamaa ana makovu uso mzima !
celebrity_alex massawe
View attachment 102296