Alex Massawe: Umaarufu wake unatokana na nini?

Mkuu nisome hapo juu. Alex, kesi yake aidha ''atashinda'' au ataenda ''mvua chache''. Na hiyo ni kutokana na support ya serikali yenyewe. Kwa hiyo serikali haijipangi kushinda bali kushindwa


Si kweli, tatizo serikali yetu inafanya vitu kimakusudi. Kama ikitaka kushinda itashinda ila wanaangalia nani wa kumtetea. Si haki hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…