Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Mkuu nisome hapo juu. Alex, kesi yake aidha ''atashinda'' au ataenda ''mvua chache''. Na hiyo ni kutokana na support ya serikali yenyewe. Kwa hiyo serikali haijipangi kushinda bali kushindwa
Si kweli, tatizo serikali yetu inafanya vitu kimakusudi. Kama ikitaka kushinda itashinda ila wanaangalia nani wa kumtetea. Si haki hata kidogo.
