Alex Ngereza: Simba wameenda kupoteza pesa Zanzibar

Alex Ngereza: Simba wameenda kupoteza pesa Zanzibar

Binafsi nawaunga mkono Simba hata kama hawana wachezaji wote lakini kutoka mazingira yale uliyozoea na kwenda mazingira tofauti kwa ajili ya jambo fulani inasaidia kuamsha upya hisia chanya kuelekea jambo hilo.

As long as programme ya mwalimu haiharibiki nadhani wako sahihi kwa ajili ya kuwaweka sawa wachezaji na bench zima kisaikolojia zaidi.
Msimu huu waliweka kambi Uturuki wakaishia kugongwa hamsa
 
Mchambuzi wa masuala ya kabumbu Alex Ngereza ametia neno kuhusu kambi ya Simba walikoweka Zanzibar:-

"Sijaona sababu ya Simba kwenda kuweka kambi Zanzibar kwasababu zimebaki siku chache kuelekea mchezo dhidi ya Al ahly lakini pia wapo baadhi ya wachezaji muhimu hawapo wameenda kuzitumikia timu zao za taifa kwahio kwenda Zanzibar hakuna faida yoyote kwa Simba zaidi wanaenda kupoteza tu fedha" Alex Ngereza, Mchambuzi wa Soka.
Kwani yeye anajua Simba wametoa wapi hizo hela anazosema wanapoteza? Kama hajachangia chochote yeye inamuuma nini?
 
Huyu Alex Ngereza ni kilaza fulani hivi anachojua ni kuzipiga vijembe Simba na Yanga tu ili kujipatia umaarufu wa mchongo.
 
Ukishabikia sanaaaas simba na Yanga akili zinaanza kupungua kichwani.

Vijana Fainali uzeeni.
Msipoteze muda kwenye mamipila.

Hizo simba na Yanga ni mtego wa kisiasa wa selikali na propaganda nyie mnajaa tu.

TANZANIA YANGU.
Ucha kuwapangia watu maisha mzee
 
Kila mwandishi anaandika kumfurahisha GSM, hata kama ameandika upumbavu kama huu
 
Huyo Alex Ngereza ni kilaza fulani hivi ukweli hata mpira wenyewe haujui wala historia ya mpira wa Tanzania haijui,leo nimemsikia anasema kuwa mechi ya Yanga na Mamelod ina trend sana kwa vile Yanga ni timu changa kwenye haya mashindano na ni mara ya kwanza kuingia robo fainali na Mamelod ni miamba ya soka Africa. Sasa kama hajui kuwa Yanga ilishafika robo fainali tena zaidi ya mara moja kwenye mashindano haya huyu utasema ni mchambuzi wa mpira kweli? Hata kumnukuu mpuuzi kama huyu na kumuanzishia thread ni matumizi mabaya ya muda na akili.
 
Back
Top Bottom