Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Msimu huu waliweka kambi Uturuki wakaishia kugongwa hamsaBinafsi nawaunga mkono Simba hata kama hawana wachezaji wote lakini kutoka mazingira yale uliyozoea na kwenda mazingira tofauti kwa ajili ya jambo fulani inasaidia kuamsha upya hisia chanya kuelekea jambo hilo.
As long as programme ya mwalimu haiharibiki nadhani wako sahihi kwa ajili ya kuwaweka sawa wachezaji na bench zima kisaikolojia zaidi.
Kuweka kambi sehemu haina maana hautafungwa kabisaMsimu huu waliweka kambi Uturuki wakaishia kugongwa hamsa
Umesahau kuwa huyo ni mshabiki wa utopolo ambaye si JK wala mzee Sunday Manara?Kuweka kambi sehemu haina maana hautafungwa kabisa
Kwani yeye anajua Simba wametoa wapi hizo hela anazosema wanapoteza? Kama hajachangia chochote yeye inamuuma nini?Mchambuzi wa masuala ya kabumbu Alex Ngereza ametia neno kuhusu kambi ya Simba walikoweka Zanzibar:-
"Sijaona sababu ya Simba kwenda kuweka kambi Zanzibar kwasababu zimebaki siku chache kuelekea mchezo dhidi ya Al ahly lakini pia wapo baadhi ya wachezaji muhimu hawapo wameenda kuzitumikia timu zao za taifa kwahio kwenda Zanzibar hakuna faida yoyote kwa Simba zaidi wanaenda kupoteza tu fedha" Alex Ngereza, Mchambuzi wa Soka.
Ucha kuwapangia watu maisha mzeeUkishabikia sanaaaas simba na Yanga akili zinaanza kupungua kichwani.
Vijana Fainali uzeeni.
Msipoteze muda kwenye mamipila.
Hizo simba na Yanga ni mtego wa kisiasa wa selikali na propaganda nyie mnajaa tu.
TANZANIA YANGU.
Kwenye hili swala wala sio mambo ya ushabiki. Mimi mwenyewe ni shabiki wa Yanga kindakindakiUmesahau kuwa huyo ni mshabiki wa utopolo ambaye si JK wala mzee Sunday Manara?
Ni sahihi japo pia naona kama page nyingi za michezo kuna muda zinamlisha na kumuwekea maneno. Sidhani kama anaweza sema hivyo japo ukimuangalia muonekano wake ni kama mtu mwenye mtindio wa UbongoJamaa anafosi kujulikana
Cha ajabu hata huo umaarufu hapatii. [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Alex Ngereza ni kilaza fulani hivi anachojua ni kuzipiga vijembe Simba na Yanga tu ili kujipatia umaarufu wa mchongo.
Sana sana ndiyo anazidi kujiumbua kuwa ni kilaza na mshamba tu.Cha ajabu hata huo umaarufu hapatii. [emoji23][emoji23][emoji23]