Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Ngoja tuufukueKuna uzi uliwahi kuletwa kuhusu TCC Club.. embu tunaomba urejeshwe hapa tufanye reference
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuufukueKuna uzi uliwahi kuletwa kuhusu TCC Club.. embu tunaomba urejeshwe hapa tufanye reference
Wewe Boya kweli ,Toa umbumbumbu wako wa ki CCM hapa,soma na uelewe maudhui ya mada, pumbavu kabisa weweMasikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Sikushangai, hakunaga mwana CCM mwenye akili kabisa,nyie ni mapumbavu yoteAnafuatilia miradi ya Wanaume
Hatari sana!
Kenge mkubwa wewe, kupanda kwa wizi?Punguza wivu kupanda na kushuka ni hatua za kibinadamu.
Acha ujinga, Tajiri au mwizi, yaani unafurahia utajiri wa fisadi, saa nyingine muwe na akili hata kidogo za kufikiri.Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Kenge babayakoKenge mkubwa wewe, kupanda kwa wizi?
Hivi Buffalo yalikuwa mabasi ya nani ?Huwa hawana ujanja hawa wa kuishi nje ya ofisi. Ofisi zao ndizo huwa zinaendesha biashara na sio biashara zinajiendesha.
Thus yule wa mabasi 60 akiwa bench na timu Ina shuka daraja.
Mabus ya buffalo yapo wapi? Mfumo ukiwatupa na biashara ufa.
Kuna kigogo tumemuona anapitapita hapa jimboni!! Ajipange vizuri!!Huyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .
Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?
Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8
View attachment 2457682
Itaendelea ........
Tajiri wa halali ni kama naniUtajiri wa Halali hatuna shida nao , hoja ni ile ile kwanini wafilisike baada ya waliokuwa viongozi kufa ?
Hawezi kuwa na jibu huyo. Matajiri wengi ni wevi wakwepa kodiTajiri wa halali ni kama nani
Enzi zile chama cha CUF kina nguvuHivi Buffalo yalikuwa mabasi ya nani ?
Huwezi kufanikiwa maisha yako binafsi kwa kuwachukia waliofanikiwa kwenye maisha yao binafsiHuyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .
Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?
Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8
View attachment 2457682
Itaendelea ........
Ndio, maisha yalivyo kuna kupanda na kushuka, umewahi kujiuliza Yanga walitembeza bakuli karibu awamu yote ya tano, na sasa awamu ya sita wanalamba asali?Utajiri wa Halali hatuna shida nao , hoja ni ile ile kwanini wafilisike baada ya waliokuwa viongozi kufa ?
Alimhujumu rafiki yangu Mawe Matatu.Huyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .
Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?
Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8
View attachment 2457682
Itaendelea ........