Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Mnyeti ni mtu wa hovyo sana. Nilikuwa namuamini ila Kwa sasa No jamaa Hana skills za uongozi. Yupo kipumbavu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na udadisiWivu na choyo ni vitu vibavyowasumbua Sana Watanzania....
Jiwe alipenda kukaa na majitu mapumbavu, angalia Makonda, sabayaMnyeti ni mtu wa hovyo sana. Nilikuwa namuamini ila Kwa sasa No jamaa Hana skills za uongozi. Yupo kipumbavu sana
Si suala la maskini kufurahi anguko la tajiri,bali nafasi yao na utendaji wao ndiyo unao sababisha watu wamjadili,ukiondoa Makonda,Sabaya aliyefuatia hapo alikuwa Mnyeti,mtu jasiri wa roho mbaya na mjivuni asiye na haya. Its matter of nature.Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
[emoji38][emoji38][emoji38]Jiwe alipenda kukaa na majitu mapumbavu, angalia Makonda, sabaya
Sio kweli.Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Kama Vile Mwendakuzimu Jiwe alivyokuwa anafurahia Matajiri kushuka na kuishi kama MashetaniMasikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
JPM alikuwa mwizi
Nimekubali substance,na kukataa allegations zisizo na msingi.Unakubali nini na unakataa nini ?
Basi haya .Nimekubali substance,na kukataa allegations zisizo na msingi.
Bado wewe tutakulisha bure mara baada ya mumeo kutwaliwa na covidHata Lisu na Lema wamekimbia madeni wanalishwa bure na wazungu
Wewe ni ke au meHata Lisu na Lema wamekimbia madeni wanalishwa bure na wazungu
Hivi mnyeti alikuwa nani vile? Nasahau kidogoNi lasmi sasa bwana Mnyeti mambo yameanza kumkalia kinyume.
Bwana Mnyeti ambaye ni mmiliki wa timu ya Gwambina sasa rasmi ameitosa hiyo timu.
Baada ya kuona mianya aliyokuwa anaitumia kumuliki mambo yake inakwama sasa ameamua kujitoa ktk harakati za kuimiliki timu ya soka ya Gwambina fc.
Wachezaji wa timu hiyo Jana waliambiwa kuwa wapo huru kujitafutia malisho mahali pengine.
Huo ndiyo mwanzo wa watu maarufu kubwaga manyanga maana vya kuchinja hawaviwezi.
Huyo ni- ke-Wewe ni ke au me
Alikuwa mchora ramani ya kuwanunua viongozi wa cdmHivi mnyeti alikuwa nani vile? nasahau kidogo