Alexander Mnyeti Maji ya Shingo, miradi yake yaanza kufa mmoja baada ya mwingine

Bora hata angewekeza kwenye real estates. Ila siyo kwenye rimu ya mpira wa miguu. Anyway, siyo mbaya. Ameambulia hata ubunge.

Na kama ana akili timamu, 2025 asipoteze hela zake za kiinua mgongo kwa ajili ya kutetea huo ubunge wake.
Kumbe ni wapinzani wake kisiasa , 2025 tutaona mengi
 
Ningeshangaa kama usinge mtaja Magufuli.
 
Hasa ikiwa utajiri wenyewe umepatikana kwa wizi na dhuluma kwa hao masikini kwa sababu hakuna anayechukia utajiri wa baghresa au wa dewji.
Una hakika hao uliowataja utajiri wao ni wa halali.How about if it is masonic and therefore backed by human sacrifices,and I believe it is.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…