Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
umepiga kwenye mshono😂 sasa subiri povuHata Lisu na Lema wamekimbia madeni wanalishwa bure na wazungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umepiga kwenye mshono😂 sasa subiri povuHata Lisu na Lema wamekimbia madeni wanalishwa bure na wazungu
Sukuma gang woote fagilia mbali na tupa kuuleeeumepiga kwenye mshono[emoji23] sasa subiri povu
Hasa ikiwa utajiri wenyewe umepatikana kwa wizi na dhuluma kwa hao masikini kwa sababu hakuna anayechukia utajiri wa baghresa au wa dewji.Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Comment bora kabisaHasa ikiwa utajiri wenyewe umepatikana kwa wizi na dhuluma kwa hao masikini kwa sababu hakuna anayechukia utajiri wa baghresa au wa dewji.
HAKUNA ANAYEFURAHIA KUFILISIKA, THE ISSUE IS HUYU ALIBEBWA NA MAGUULI KWA KUTUMIA FEDHA ZA UMMA! THIS IS THE BASIC ARGUMENT!Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Kumbe ni wapinzani wake kisiasa , 2025 tutaona mengiBora hata angewekeza kwenye real estates. Ila siyo kwenye rimu ya mpira wa miguu. Anyway, siyo mbaya. Ameambulia hata ubunge.
Na kama ana akili timamu, 2025 asipoteze hela zake za kiinua mgongo kwa ajili ya kutetea huo ubunge wake.
Wajinga wengi huamini kama unavyoamini wewe, hawaamini kabisa hata Meta ilikuwa facebookTajiri wa mchongo hafilisiki. Anarudi tu kwenye asili yake ya umasikini.
Ningeshangaa kama usinge mtaja Magufuli.Huyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .
Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?
Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8
View attachment 2457682
Itaendelea ........
Una hakika hao uliowataja utajiri wao ni wa halali.How about if it is masonic and therefore backed by human sacrifices,and I believe it is.Hasa ikiwa utajiri wenyewe umepatikana kwa wizi na dhuluma kwa hao masikini kwa sababu hakuna anayechukia utajiri wa baghresa au wa dewji.