GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Unayakumbuka ya kanal Muammar Gaddafi,Marekani ni ibilisi mzee hataki huku kwetu tupike pilau tukae mezani kujipongeza anataka tuwe omba omba milele na milele daima.Yeye ni nani mpaka akatae pesa anatoa yeye?