I'll be updating u..game inaanza saa6 kamili ipo live kwa TB ya c kwa bongoSenetor! Kwani mechi ya stars si kesho?? Data zangu zinaonyesha mechi kesho, I am not real sure with my data
I'll be updating u..game inaanza saa6 kamili ipo live kwa TB ya c kwa bongo
sijui vgezo vipi unavitumia lakini mimi naona jamaa wametubana yaani sisi tuna kibia kimbia kuukimbiza mpira.......So far so good,vijana wamefanikiwa kuabsorb presha ya walgeria ,baada ya kuelemewa mwanzoni the game is balanced now