Ila naamini sasa refa yuko biased yaani faulo twachezewa sie kisha mpira waenda kwetu?
Nyingine mrwanda anachezewa kisha anapeta , mhhh hayuko fair kabisa
anaweza kuwapa hata penati ya hovyohovyoo
nahis
bongo imeweka shambilizi kiali
timu imebadilika sana
Nyingine mrwanda anachezewa kisha anapeta , mhhh hayuko fair kabisa
anaweza kuwapa hata penati ya hovyohovyoo
nahis
bongo imeweka shambilizi kiali
timu imebadilika sana