Algeria vs taifa stars

Muda umekwisha saa nyingi lakini refa hamalizi mpira
 
Mpira umekwisha hapa TZ tumeambulia sare Hongera sana kwa Tanzania mwanzo mzuri sana atleast atakumbukwa maximo kwa kujenga misingi imara hapa....Bravo tu kipa wetu kwa juhudi zake binafsi
 
huyu refa anakaa-nyagwa... dakika ya 97,
 
Hongera watanzania hatimaye droo ya ugenini!! Hongera Taifa stars
 
duh nimeona waarabu wanashangilia draw sasa sijui ndo ushindi kwao au!
 
halafu hawa warabu m@vi kweli... sijaona hata replay ya goli letu.... i hate this unfairness
 
sifa zoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote kwa golikipa kwa kweli Mungu akupe afya njema
 
Hatimaye .... Thanks God ungenini draw si haba.
 
good game, shida ni kipa naona kama anaona mpira kitofauti, anakatika sana
once again... Kado kanitoa nishai

senksi Kado... you have saved our day!!!!
 
halafu hawa warabu m@vi kweli... sijaona hata replay ya goli letu.... i hate this unfairness

hawa jamaa si wanatokana na yule firauniiii kwani umesahau mkuu mafirauni woooooooooote nchi nzima
 
Kiwango kibovu labda kwa sababu mechi ya ugenini, ila kuna kitu kimeongezeka kwa wachezaji wa Stars, wana ari, wanajituma...marekebisho kidogo tu, kwa mechi za nyumbani wakijiamini zaidi basi safari ya E.Guinea itakuwapo, hongereni Stars
 
Well Done Taifa Stars. Great Start.

Goalkeeper is man of the match!!!!!

but the whole team played well. Good job to Paulson and Maximo.
 
Kado bonge la nyandaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kwa kweli anastahili pongezi za ajabu maana hata angekuwa nani asinge save kama huyu golie maana kanifanya nijisike furaha kubwa kuwa na golie kama huyu nadhani kama ingekuwa ndiyo usaili wake kwenda pale Old Trafooooooooord mzee asingemuacha
 
hawa jamaa si wanatokana na yule firauniiii kwani umesahau mkuu mafirauni woooooooooote nchi nzima

Hata kwenye michezo hamuwachi ujinga wenu? mi naangalia hapa kwenye channel yao wana replay magoli yote na stats za mchezo wote...acheni hizooo!!!
 
Kiwango kibovu labda kwa sababu mechi ya ugenini, ila kuna kitu kimeongezeka kwa wachezaji wa Stars, wana ari, wanajituma...marekebisho kidogo tu, kwa mechi za nyumbani wakijiamini zaidi basi safari ya E.Guinea itakuwapo, hongereni Stars
Vipi Zanzibar, mlikuwa mnacheza na nani leo?
 

ingesomeka hivi!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…