Alhaji Rage na Mwina Seifu Kaduguda chukueni hii

Alhaji Rage na Mwina Seifu Kaduguda chukueni hii

Sasa tuje kwa huyo Manara wako; alikuwa ni nani pale Yanga mpaka maneno yake yawe na mashiko? Zaidi tu ya kuajiriwa na GSM, baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi kutoka kwa mwekezaji wenu janjanja?
Hata Mayele, Diara na Lomalisa wameajiriwa na Jiesiem, nao utasema ni akina nani pale utopoloni?
 
Hata Mayele, Diara na Lomalisa wameajiriwa na Jiesiem, nao utasema ni akina nani pale utopoloni?
Kuna uhusiano wowote na huyo mropokaji wenu mnayemtukuza kila siku, na aliyembia mshahara wa laki 7 kwenye timu yenu?
 
Kwanza hakuna mtu anaitwa Lage usiharibu majina ya watu, halafu jifunze kuandika na alama za uandishi ili next time uwe kama mtu. Tupo tu hapo.
 
Matokeo Waliyo yapata Simba Mimi niliyategemea Kwaiyo sikushtuka, na nilisha andika zaidi ya mara mmoja.

Wydad hivi ndivyo hufanya ugenini, wata tafuta ushindi,sare au wakishindwa watafungwa ila tofauti haizidi goli mmoja.

Wameshafanya hivyo mara nyingi ila kule kwao goli zao zina anzia tatu ni Ahly pekee aliye pigwa 2
MO afanye kama alivyo fanya Mjomba wake Azim Dewji mwaka 1993 Tena hii itakua ugenini Haina shida, Kwakua Hakuna namna nyingine zaidi ya kubalance vitabu vya fedha.
Mashabiki wengi hawaelewi, Hii sio hatua ya kushinda tu, Hii ni hatua ya kufuzu.
Watu wa mpira wanaelewa nini namaanisha, Ingekua kwenye hatua ya makundi kushinda Kuna maana kubwa ila hatua hii kinacho tengenezwa ni tofauti ya Magoli.

Wengi wataelewa baada ya marudiano ya hizi mechi na watajifunza kuanzia hapo.
Kaizer Chiefs aliwafunga pale pale kwao 1 nil au hawakuwa Wydad mechi hiyo ?
 
Ismail Aden Rage ni Mwenyekiti wenu mstaafu! Na kwa kujiamini kabisa, na akiwa mbele yenu, na camera za waandishi wa habari zikimulika! alidiriki kuwaambia nyinyi mashabiki wa simba eti ni mbumbumbu! Na mlikubali. Maana hamkunfanya kitu!

Sasa tuje kwa huyo Manara wako; alikuwa ni nani pale Yanga mpaka maneno yake yawe na mashiko? Zaidi tu ya kuajiriwa na GSM, baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi kutoka kwa mwekezaji wenu janjanja?
Bila kumtaja Rage huna raha utafikiri ndiye alijutoa usichana wako.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ismail Aden Rage ni Mwenyekiti wenu mstaafu! Na kwa kujiamini kabisa, na akiwa mbele yenu, na camera za waandishi wa habari zikimulika! alidiriki kuwaambia nyinyi mashabiki wa simba eti ni mbumbumbu! Na mlikubali. Maana hamkunfanya kitu!

Sasa tuje kwa huyo Manara wako; alikuwa ni nani pale Yanga mpaka maneno yake yawe na mashiko? Zaidi tu ya kuajiriwa na GSM, baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi kutoka kwa mwekezaji wenu janjanja?
Na Hersi pia sio chochote alipowaambia mmevimbiwa mihogo na kuropoka ovyo kama mnatoa chochote kwenye timu.Hersi si ndio Rais wenu au?Tena mliyembeba kwenye machela mithili ya watumwa kumbeba mmiliki wao. Toeni boriti kwenye macho yenu kabla ya kulalamikia ubanzi
 
Ismail Aden Rage ni Mwenyekiti wenu mstaafu! Na kwa kujiamini kabisa, na akiwa mbele yenu, na camera za waandishi wa habari zikimulika! alidiriki kuwaambia nyinyi mashabiki wa simba eti ni mbumbumbu! Na mlikubali. Maana hamkunfanya kitu!

Sasa tuje kwa huyo Manara wako; alikuwa ni nani pale Yanga mpaka maneno yake yawe na mashiko? Zaidi tu ya kuajiriwa na GSM, baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi kutoka kwa mwekezaji wenu janjanja?
Raisi wenu alisema nyie ni wala mihogo tena ya mia mia,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlimfanya nn?
 
Back
Top Bottom