Hata Mayele, Diara na Lomalisa wameajiriwa na Jiesiem, nao utasema ni akina nani pale utopoloni?Sasa tuje kwa huyo Manara wako; alikuwa ni nani pale Yanga mpaka maneno yake yawe na mashiko? Zaidi tu ya kuajiriwa na GSM, baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi kutoka kwa mwekezaji wenu janjanja?
Mzee Rage aliona mbali sanaHata Mayele, Diara na Lomalisa wameajiriwa na Jiesiem, nao utasema ni akina nani pale utopoloni?
Kuna uhusiano wowote na huyo mropokaji wenu mnayemtukuza kila siku, na aliyembia mshahara wa laki 7 kwenye timu yenu?Hata Mayele, Diara na Lomalisa wameajiriwa na Jiesiem, nao utasema ni akina nani pale utopoloni?
Kaizer Chiefs aliwafunga pale pale kwao 1 nil au hawakuwa Wydad mechi hiyo ?Matokeo Waliyo yapata Simba Mimi niliyategemea Kwaiyo sikushtuka, na nilisha andika zaidi ya mara mmoja.
Wydad hivi ndivyo hufanya ugenini, wata tafuta ushindi,sare au wakishindwa watafungwa ila tofauti haizidi goli mmoja.
Wameshafanya hivyo mara nyingi ila kule kwao goli zao zina anzia tatu ni Ahly pekee aliye pigwa 2
MO afanye kama alivyo fanya Mjomba wake Azim Dewji mwaka 1993 Tena hii itakua ugenini Haina shida, Kwakua Hakuna namna nyingine zaidi ya kubalance vitabu vya fedha.
Mashabiki wengi hawaelewi, Hii sio hatua ya kushinda tu, Hii ni hatua ya kufuzu.
Watu wa mpira wanaelewa nini namaanisha, Ingekua kwenye hatua ya makundi kushinda Kuna maana kubwa ila hatua hii kinacho tengenezwa ni tofauti ya Magoli.
Wengi wataelewa baada ya marudiano ya hizi mechi na watajifunza kuanzia hapo.
Bila kumtaja Rage huna raha utafikiri ndiye alijutoa usichana wako.Ismail Aden Rage ni Mwenyekiti wenu mstaafu! Na kwa kujiamini kabisa, na akiwa mbele yenu, na camera za waandishi wa habari zikimulika! alidiriki kuwaambia nyinyi mashabiki wa simba eti ni mbumbumbu! Na mlikubali. Maana hamkunfanya kitu!
Sasa tuje kwa huyo Manara wako; alikuwa ni nani pale Yanga mpaka maneno yake yawe na mashiko? Zaidi tu ya kuajiriwa na GSM, baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi kutoka kwa mwekezaji wenu janjanja?
Uhusiano upo, wote ni waajiriwa wa JiiesiemKuna uhusiano wowote na huyo mropokaji wenu mnayemtukuza kika siku, na aliyembia mshahara wa laki 7 kwenye timu yenu?
Na Hersi pia sio chochote alipowaambia mmevimbiwa mihogo na kuropoka ovyo kama mnatoa chochote kwenye timu.Hersi si ndio Rais wenu au?Tena mliyembeba kwenye machela mithili ya watumwa kumbeba mmiliki wao. Toeni boriti kwenye macho yenu kabla ya kulalamikia ubanziIsmail Aden Rage ni Mwenyekiti wenu mstaafu! Na kwa kujiamini kabisa, na akiwa mbele yenu, na camera za waandishi wa habari zikimulika! alidiriki kuwaambia nyinyi mashabiki wa simba eti ni mbumbumbu! Na mlikubali. Maana hamkunfanya kitu!
Sasa tuje kwa huyo Manara wako; alikuwa ni nani pale Yanga mpaka maneno yake yawe na mashiko? Zaidi tu ya kuajiriwa na GSM, baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi kutoka kwa mwekezaji wenu janjanja?
Huyu mropokaji si ndio amekuwa lulu mpaka mnadiriki kumtetea kwenye kila ujinga.Anayempokea na kumuajiri mropokaji yeye anakuwa nani?Kuna uhusiano wowote na huyo mropokaji wenu mnayemtukuza kila siku, na aliyembia mshahara wa laki 7 kwenye timu yenu?
Vita nilimpasua nje ndani na wydad nampasua pia kwakeKwaiyo Kwa akiliyako ya ki mbumbumbu unaona hii ni hatua ya kufananisha mechi ya Wydad na vita? Yaani akiliyako inakupeleka kwenye makundi!!
Raisi wenu alisema nyie ni wala mihogo tena ya mia mia,Ismail Aden Rage ni Mwenyekiti wenu mstaafu! Na kwa kujiamini kabisa, na akiwa mbele yenu, na camera za waandishi wa habari zikimulika! alidiriki kuwaambia nyinyi mashabiki wa simba eti ni mbumbumbu! Na mlikubali. Maana hamkunfanya kitu!
Sasa tuje kwa huyo Manara wako; alikuwa ni nani pale Yanga mpaka maneno yake yawe na mashiko? Zaidi tu ya kuajiriwa na GSM, baada ya kukimbia mshahara wa laki 7 kwa mwezi kutoka kwa mwekezaji wenu janjanja?
Mihogo ni chakula. Shida iko wapi akisema hivyo?Raisi wenu alisema nyie ni wala mihogo tena ya mia mia,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlimfanya nn?