redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Nyinyi ni watu wa mpira na mnaelewa maana ya Matokeo mliyopata Leo.
Nyinyi mmeuishi mpira naomba mkamwambie mwekezaji ndugu MO ukweli na Nini anatakiwa afanye kuliko kutolewa bila faida yoyote.
Pesa iliyotumika mpaka kufikia apo ni nyingi Kwaiyo Aya mambo yanajadilika kuliko kukaza shingo na kutolewa Kwa aibu.
Kesho nayo ni siku mtajaribu Tena ila kwasasa zifanyike hesabu za kupunguza hasara.
Nadhani watu wanao ishi mpira wamenielewa.
Wewe kama unaona uelewi ujue halikuhusu.
Nyinyi mmeuishi mpira naomba mkamwambie mwekezaji ndugu MO ukweli na Nini anatakiwa afanye kuliko kutolewa bila faida yoyote.
Pesa iliyotumika mpaka kufikia apo ni nyingi Kwaiyo Aya mambo yanajadilika kuliko kukaza shingo na kutolewa Kwa aibu.
Kesho nayo ni siku mtajaribu Tena ila kwasasa zifanyike hesabu za kupunguza hasara.
Nadhani watu wanao ishi mpira wamenielewa.
Wewe kama unaona uelewi ujue halikuhusu.