ile kauli inayosema ktk msafara wa kenge na mamba wamo umeisahau?, mwaya wee jishindie mamba wako tu hongera sana!! ila hawa kenge walio salia sijui tutaweza kuwafanya kuwa mamba, tatizo ni wajuaji mpaka inatia hofu kuwaanza, ila wakishaona imefika jioni ndo wanakuja kujiliza liza wanataka waume..