Ali Hassan Mwinyi na Khamis Kagasheki waliingia katika siasa kwa bahati mbaya...

Ali Hassan Mwinyi na Khamis Kagasheki waliingia katika siasa kwa bahati mbaya...

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Ninavyowaona hawa wazee hawapendi kabisa watu kuonewa .hawapendi dhuluma .ila hamna siasa isiyokuwa na dhuluma.Ndio maana Mzee mwinyi alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani baada ya kuona dhuluma na mauaji yalifanywa na polisi wasio na maadili. Na aliweka wazi kabisa ni polisi ambao walikiuka majukumu yao ya kulinda mali na usalama wa raia.Pia Mzee kagasheki alijiuzuru kwa sababu ya askari waliofanya operation iliyoleta dhuluma na mauaji kwa watu wasio na hatia. Wote hawa wawili waliwajibika kwa makosa ya askari wasio na maadili. Ila mara kwa mara kauli za wazee hawa huwa zinaonyesha wazi hawapendi watu kuonewa na kudhulumiwa haki zao. Mfano mzee Kagasheki siku ya krismas aliweka wazi kabisa masikitiko yake juu ya watu wanaobambikiwa kesi. Jambo ambalo sasa limekuwa kama janga la taifa. Mtu anakamatwa na kosa la wizi wa simu atapewa kesi ya unyag'anyi wa kutumia siraha. Ili mradi tu ahangaike na kama ikibidi atoe rushwa sababu ni kesi ambayo haina dhamana. Ni wanasiasa wachache sana kama Mwinyi na Kagasheki ambao hawapendi kuona watu wanaonewa. Wengi wakipata madaraka ni kuonea watu tu." Polisi ni chombo cha kulinda raia na mali zao si chombo cha kuwaua" Wanasiasa wachache sana wasiopenda dhuluma!
 

Attachments

  • 1673304_6.jpg
    1673304_6.jpg
    107.3 KB · Views: 2
Ninavyowaona hawa wazee hawapendi kabisa watu kuonewa .hawapendi dhuluma .ila hamna siasa isiyokuwa na dhuluma.Ndio maana Mzee mwinyi alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani baada ya kuona dhuluma na mauaji yalifanywa na polisi wasio na maadili. Na aliweka wazi kabisa ni polisi ambao walikiuka majukumu yao ya kulinda mali na usalama wa raia.Pia Mzee kagasheki alijiuzuru kwa sababu ya askari waliofanya operation iliyoleta dhuluma na mauaji kwa watu wasio na hatia. Wote hawa wawili waliwajibika kwa makosa ya askari wasio na maadili. Ila mara kwa mara kauli za wazee hawa huwa zinaonyesha wazi hawapendi watu kuonewa na kudhulumiwa haki zao. Mfano mzee Kagasheki siku ya krismas aliweka wazi kabisa masikitiko yake juu ya watu wanaobambikiwa kesi. Jambo ambalo sasa limekuwa kama janga la taifa. Mtu anakamatwa na kosa la wizi wa simu atapewa kesi ya unyag'anyi wa kutumia siraha. Ili mradi tu ahangaike na kama ikibidi atoe rushwa sababu ni kesi ambayo haina dhamana. Ni wanasiasa wachache sana kama Mwinyi na Kagasheki ambao hawapendi kuona watu wanaonewa. Wengi wakipata madaraka ni kuonea watu tu." Polisi ni chombo cha kulinda raia na mali zao si chombo cha kuwaua" Wanasiasa wachache sana wasiopenda dhuluma!

Mzee Mwinyi alishiriki asilimia Mia moja uchaguzi wa 2000 , 2005 2010 ,2015 kuwapokonya ushindi Maalim Seif huku zanzibar, huyu ni baba wa dhulma
 
Ninavyowaona hawa wazee hawapendi kabisa watu kuonewa .hawapendi dhuluma .ila hamna siasa isiyokuwa na dhuluma.Ndio maana Mzee mwinyi alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani baada ya kuona dhuluma na mauaji yalifanywa na polisi wasio na maadili. Na aliweka wazi kabisa ni polisi ambao walikiuka majukumu yao ya kulinda mali na usalama wa raia.Pia Mzee kagasheki alijiuzuru kwa sababu ya askari waliofanya operation iliyoleta dhuluma na mauaji kwa watu wasio na hatia. Wote hawa wawili waliwajibika kwa makosa ya askari wasio na maadili. Ila mara kwa mara kauli za wazee hawa huwa zinaonyesha wazi hawapendi watu kuonewa na kudhulumiwa haki zao. Mfano mzee Kagasheki siku ya krismas aliweka wazi kabisa masikitiko yake juu ya watu wanaobambikiwa kesi. Jambo ambalo sasa limekuwa kama janga la taifa. Mtu anakamatwa na kosa la wizi wa simu atapewa kesi ya unyag'anyi wa kutumia siraha. Ili mradi tu ahangaike na kama ikibidi atoe rushwa sababu ni kesi ambayo haina dhamana. Ni wanasiasa wachache sana kama Mwinyi na Kagasheki ambao hawapendi kuona watu wanaonewa. Wengi wakipata madaraka ni kuonea watu tu." Polisi ni chombo cha kulinda raia na mali zao si chombo cha kuwaua" Wanasiasa wachache sana wasiopenda dhuluma!
Hahahaha...just be real..wewe Nia yako sio wazee hao wawili..Mwinyi don't need your sugar coating talk..he has done his bit...Bukoba mjini ndio inakusumbua Sana..I can advise you for free, your guy can't make it pale..pia mwambie kusaidia watu sio lazima awe mbunge.. mwambie atumie media yake vizuri kuibua FURSA zilizoko kagera sio lazima aende mjengoni to help his society.
 
Hahahaha...just be real..wewe Nia yako sio wazee hao wawili..Mwinyi don't need your sugar coating talk..he has done his bit...Bukoba mjini ndio inakusumbua Sana..I can advise you for free, your guy can't make it pale..pia mwambie kusaidia watu sio lazima awe mbunge.. mwambie atumie media yake vizuri kuibua FURSA zilizoko kagera sio lazima aende mjengoni to help his society.
Wrong perception
 
Sasa hiyo barua kuna mahali pameandikwa mwalumu.

Nachelea kuamini kuwa ilipata kuwekwa saini na uliyemtaja katika bandilo lako.

Maana uliyemtaja ni nguli kwelikweli wa kiswahili. Vinginevyo neno mwalumu ni geni kwangu binafsi sikupata kulifahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninavyowaona hawa wazee hawapendi kabisa watu kuonewa .hawapendi dhuluma .ila hamna siasa isiyokuwa na dhuluma.Ndio maana Mzee mwinyi alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani baada ya kuona dhuluma na mauaji yalifanywa na polisi wasio na maadili. Na aliweka wazi kabisa ni polisi ambao walikiuka majukumu yao ya kulinda mali na usalama wa raia.Pia Mzee kagasheki alijiuzuru kwa sababu ya askari waliofanya operation iliyoleta dhuluma na mauaji kwa watu wasio na hatia. Wote hawa wawili waliwajibika kwa makosa ya askari wasio na maadili. Ila mara kwa mara kauli za wazee hawa huwa zinaonyesha wazi hawapendi watu kuonewa na kudhulumiwa haki zao. Mfano mzee Kagasheki siku ya krismas aliweka wazi kabisa masikitiko yake juu ya watu wanaobambikiwa kesi. Jambo ambalo sasa limekuwa kama janga la taifa. Mtu anakamatwa na kosa la wizi wa simu atapewa kesi ya unyag'anyi wa kutumia siraha. Ili mradi tu ahangaike na kama ikibidi atoe rushwa sababu ni kesi ambayo haina dhamana. Ni wanasiasa wachache sana kama Mwinyi na Kagasheki ambao hawapendi kuona watu wanaonewa. Wengi wakipata madaraka ni kuonea watu tu." Polisi ni chombo cha kulinda raia na mali zao si chombo cha kuwaua" Wanasiasa wachache sana wasiopenda dhuluma!
Acha ujinga...Mwinyi anatamani Magufuli atawale milele.
 
Mzee Mwinyi alishiriki asilimia Mia moja uchaguzi wa 2000 , 2005 2010 ,2015 kuwapokonya ushindi Maalim Seif huku zanzibar, huyu ni baba wa dhulma

Kanusuru Visiwa vya Znz kurudishwa Utumwani
 
Back
Top Bottom