Ali Hassan Mwinyi na Khamis Kagasheki waliingia katika siasa kwa bahati mbaya...

Ali Hassan Mwinyi na Khamis Kagasheki waliingia katika siasa kwa bahati mbaya...

Sasa hiyo barua kuna mahali pameandikwa mwalumu.

Nachelea kuamini kuwa ilipata kuwekwa saini na uliyemtaja katika bandilo lako.

Maana uliyemtaja ni nguli kwelikweli wa kiswahili. Vinginevyo neno mwalumu ni geni kwangu binafsi sikupata kulifahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Typing error si unajua enzi za typwriters
 
Mwinyi ndio maana unaona Mungu anampa miaka mingi ya kuishi

Makosa yake mengi yalikuwa ya kushauriwa vibaya na si kuingilia mambo moja kwa moja.

Mfano Mbatia kufukuzwa chuo baada ya migomo kuzidi.

All in all ana hofu ya Mungu.
Kuna msemo kwamba wazuri hawaishi muda mzuri!
 
Back
Top Bottom